Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Zaa katoto, usipanic huwezi kuzuia mvuwa ili kujuwa Moshi na Arusha ni mji upi unaongoza kwa usafi ni lazima ufike sehemu hizo na siyo kuhadhiwa kijiweni au salon.

Last but list ongeza bidii kwenye kujifunza kuandika usidhani hapa unadeal na watoto wenzako.

me mwenyewe nashangaa mtu mzima km ww kujadl habar hz,habar km hz huwa znajadliwa na watoto bhana.na cyo lazma uende sehemu ndo ujue habar zake mbona watu wanamfata mtume na yesu ambae hata hawajawah kuwaona.na nakushangaa ww unaejua kuandika vzur lakn umeandka mvuwa so cjui n lugha ya wap hii
 
Acha kujifurahisha wewe kama nyoka kujidanganya ana miguu...unaweza fananisha id yangu na huo uchafu wako?imekaa kiswazi sana

so nikusaidiaje ndo ishakuwa ya kiswazi sasa,pole sana kama inakupa headache na kama inakutia kichefuchefu ramba ndimu na kama ndimu zipo mbali bac nusa kwapa
 
zaa katoto ndo nan sasa,ww mwenyewe unaonyesha hujui kusoma na kuandika.kaanze shule japo memkwa itakusaidia
Matola alikuwa anamaanisha kuwa huandiki kwa mpangilio wa walioenda shule. Mfano ni kuwa hujui kama baada ya kuweka nukta (full stop) unapaswa kuanza na herufi kubwa. Si unaona ulivyoandika hapo juu?
Ova
 
Last edited by a moderator:
so nikusaidiaje ndo ishakuwa ya kiswazi sasa,pole sana kama inakupa headache na kama inakutia kichefuchefu ramba ndimu na kama ndimu zipo mbali bac nusa kwapa

Umetumwa kuja kuharibu huu uzi nini?nikiwa kama mtaalamu wa uwianisho wa typing na harufu nimejaribu kukufuatilia kidogo nimegundua una matatizo ya kutoa kiharufu sehemu za siri....sasa ili tukusikikize kajisafishe na jipulizie unyunyu ndo uje humu
 
Zaa katoto, usipanic huwezi kuzuia mvuwa ili kujuwa Moshi na Arusha ni mji upi unaongoza kwa usafi ni lazima ufike sehemu hizo na siyo kuhadhiwa kijiweni au salon.

Last but list ongeza bidii kwenye kujifunza kuandika usidhani hapa unadeal na watoto wenzako.

Ukitaka kuruka agana na nyonga.

Mungu Ibariki Tanzania

Babu Chinga One.
 
Last edited by a moderator:
me mwenyewe nashangaa mtu mzima km ww kujadl habar hz,habar km hz huwa znajadliwa na watoto bhana.na cyo lazma uende sehemu ndo ujue habar zake mbona watu wanamfata mtume na yesu ambae hata hawajawah kuwaona.na nakushangaa ww unaejua kuandika vzur lakn umeandka mvuwa so cjui n lugha ya wap hii

Wewe mtoto sikiliza hapa hatujadiri imani, hapa tunajadili fact.

Ndio maana huwezi kujuwa kama single aliyotoa Diamond ni mbovu kabisa mpaka uisikilize na pia huwezi kuujuwa ubora wa video yake mpaka uione.

Hapa hatujadili imani kama wewe ni mtu wa imani nenda jukwaa la dini hapa umepotea njia.

Unashangaa mtu mzima kufatilia muziki wa kisasa wewe unadhani redio zinazopromote muziki huu zinamilikiwa na watoto kama wewe? Unamjuwa Joe Kusaga?

Wakati Mengi anaanzisha redio one najuwa ulikuwa unanyonya, hujawahi kuhadithiwa kwamba Mzee Mengi a.k.a Baba wawili alikuwa anakwenda kununuwa mwenyewe Cd's na Lp Marekani kwa ajili ya redio one? Tena wakati redio one ipo jengo la NASACO sasa hivi ni NSSF water front.
 
Wewe mtoto sikiliza hapa hatujadiri imani, hapa tunajadili fact.

Ndio maana huwezi kujuwa kama single aliyotoa Diamond ni mbovu kabisa mpaka uisikilize na pia huwezi kuujuwa ubora wa video yake mpaka uione.

Hapa hatujadili imani kama wewe ni mtu wa imani nenda jukwaa la dini hapa umepotea njia.

Unashangaa mtu mzima kufatilia muziki wa kisasa wewe unadhani redio zinazopromote muziki huu zinamilikiwa na watoto kama wewe? Unamjuwa Joe Kusaga?

Wakati Mengi anaanzisha redio one najuwa ulikuwa unanyonya, hujawahi kuhadithiwa kwamba Mzee Mengi a.k.a Baba wawili alikuwa anakwenda kununuwa mwenyewe Cd's na Lp Marekani kwa ajili ya redio one? Tena wakati redio one ipo jengo la NASACO sasa hivi ni NSSF water front.

achana nae huyo mtoto tusimjibu anatafuta umaarufu kupitia majin ya watu
 
Umetumwa kuja kuharibu huu uzi nini?nikiwa kama mtaalamu wa uwianisho wa typing na harufu nimejaribu kukufuatilia kidogo nimegundua una matatizo ya kutoa kiharufu sehemu za siri....sasa ili tukusikikize kajisafishe na jipulizie unyunyu ndo uje humu

kuwa makn braza nmetoka uswaz ambapo maneno ya shombo ndo lugha yetu ya pili ya taifa.by the way ndo lugha ilonkuza hiyo so naona kama salamu tu pole sana wewe kama umejifunzia lugha lugha hizo kwenye mitandao ya kijamii
 
Matola alikuwa anamaanisha kuwa huandiki kwa mpangilio wa walioenda shule. Mfano ni kuwa hujui kama baada ya kuweka nukta (full stop) unapaswa kuanza na herufi kubwa. Si unaona ulivyoandika hapo juu?
Ova

niandike kwa mpangilio kwani ni barua ya kiofisi hii au naomba kazi?na pia shuleni watu wanaangaliwa akili hawaangaliwi mwandiko.pole sana mwenye mwandiko mzuri lakin ukipewa pepa ndo wa kwanza kutoka kwa waliofeli
 
Last edited by a moderator:
achana nae huyo mtoto tusimjibu anatafuta umaarufu kupitia majin ya watu

nitafute umaarufu?umaarufu kwa watu nisiowajua wala ambao hawanijui,kama nna shida ya umaarufu ntatafuta mtaan kwetu lakini cyo huku ambapo id yangu n ya uongo na hata sura yangu haionekani
 
Wewe mtoto sikiliza hapa hatujadiri imani, hapa tunajadili fact.

Ndio maana huwezi kujuwa kama single aliyotoa Diamond ni mbovu kabisa mpaka uisikilize na pia huwezi kuujuwa ubora wa video yake mpaka uione.

Hapa hatujadili imani kama wewe ni mtu wa imani nenda jukwaa la dini hapa umepotea njia.

Unashangaa mtu mzima kufatilia muziki wa kisasa wewe unadhani redio zinazopromote muziki huu zinamilikiwa na watoto kama wewe? Unamjuwa Joe Kusaga?

Wakati Mengi anaanzisha redio one najuwa ulikuwa unanyonya, hujawahi kuhadithiwa kwamba Mzee Mengi a.k.a Baba wawili alikuwa anakwenda kununuwa mwenyewe Cd's na Lp Marekani kwa ajili ya redio one? Tena wakati redio one ipo jengo la NASACO sasa hivi ni NSSF water front.

haya hongera umetembea dunia yote ndo maana ukajua kuwa dunia ni duara,bila kutembea hivyo usingeujua ukweli huu.mwezi ujao ukienda somalia nisalimie alshabab
 
Kiba keshakwama!!
teh teh
Sasa ndo tushajua tofauti ya Jumlisha na Msalaba!!
 
Kiba keshakwama!!
teh teh
Sasa ndo tushajua tofauti ya Jumlisha na Msalaba!!

" Ujana Kiza Na Nuru"- Ali Kiba

Ndugu zangu,
Nimependa tungo za mwanamuziki huyu Ali Kiba kwenye wimbo wake wa ' Mwana'. Amenikumbusha mwandishi na mshairi mahiri Shaaban Robert. Yeye anasema;"Ujana ni nusu ya uwendawazimu". Na mimi namwambia Ali Kiba, kuwa mwanadamu hukimbia wingu, haikimbii mvua.
Pichani nikiwa juu Africa House, Zanzibar, Januari 1989. Ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuvuka bahari. Nilikuwa kijana mdogo sana mwenye kiu kubwa ya kujifunza. Na kwenye Jahazi lile nililopanda liitwalo ' Ras Nungwi' hakukuwa na kwenda tezi wala omo, abiria wote tulituama ngamani. Jahazi lilijaza magunia ya chumvi na liliyumba haswa pale pwani ya Msasani. Na miaka michache baadae nikaambiwa Ras Nungwi imezama pwani ya Mombasa..!
Maggid ,
Iringa.
 
" Ujana Kiza Na Nuru"- Ali Kiba


Ndugu zangu,
Nimependa tungo za mwanamuziki huyu Ali Kiba kwenye wimbo wake wa ' Mwana'. Amenikumbusha mwandishi na mshairi mahiri Shaaban Robert. Yeye anasema;"Ujana ni nusu ya uwendawazimu". Na mimi namwambia Ali Kiba, kuwa mwanadamu hukimbia wingu, haikimbii mvua.
Pichani nikiwa juu Africa House, Zanzibar, Januari 1989. Ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuvuka bahari. Nilikuwa kijana mdogo sana mwenye kiu kubwa ya kujifunza. Na kwenye Jahazi lile nililopanda liitwalo ' Ras Nungwi' hakukuwa na kwenda tezi wala omo, abiria wote tulituama ngamani. Jahazi lilijaza magunia ya chumvi na liliyumba haswa pale pwani ya Msasani. Na miaka michache baadae nikaambiwa Ras Nungwi imezama pwani ya Mombasa..!
Maggid ,
Iringa.
Maggid pichani Zanzibar.
 

Attachments

  • 1416720261310.jpg
    1416720261310.jpg
    14.6 KB · Views: 81
" Ujana Kiza Na Nuru"- Ali Kiba

Ndugu zangu,
Nimependa tungo za mwanamuziki huyu Ali Kiba kwenye wimbo wake wa ' Mwana'. Amenikumbusha mwandishi na mshairi mahiri Shaaban Robert. Yeye anasema;"Ujana ni nusu ya uwendawazimu". Na mimi namwambia Ali Kiba, kuwa mwanadamu hukimbia wingu, haikimbii mvua.
Pichani nikiwa juu Africa House, Zanzibar, Januari 1989. Ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuvuka bahari. Nilikuwa kijana mdogo sana mwenye kiu kubwa ya kujifunza. Na kwenye Jahazi lile nililopanda liitwalo ' Ras Nungwi' hakukuwa na kwenda tezi wala omo, abiria wote tulituama ngamani. Jahazi lilijaza magunia ya chumvi na liliyumba haswa pale pwani ya Msasani. Na miaka michache baadae nikaambiwa Ras Nungwi imezama pwani ya Mombasa..!
Maggid ,
Iringa.

Naona kiungo mkabaji wa zamani wa simba unawapa darsa watoto.
 
nitafute umaarufu?umaarufu kwa watu nisiowajua wala ambao hawanijui,kama nna shida ya umaarufu ntatafuta mtaan kwetu lakini cyo huku ambapo id yangu n ya uongo na hata sura yangu haionekani

so live ur life pleaseee...!!!
 
Back
Top Bottom