Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

teh teh teh h nchi bhana et kiba ni kama shaban robart wakati hata mrisho mpoto hamfikii huyo shaban robart
 
Kwa hisani ya Mkuu Matola, nathibitisha kuwa amefikisha habari kwetu kutoa zawadi ya thamani ya shilingi elfu ishirini (20,000/-) kwa ajili ya mshindi atakaye bahatika post yake kuwa ya kwanza kuingia ukurasa wa 100 katika uzi huu.

Kwa taarifa zaidi wasiliana na Mkuu Matola ambaye ni mwandalizi wa zawadi hii. Zawadi hiyo itatolewa na Moderator wa JF.

Wasalaam!
 
Kwa hisani ya Mkuu Matola, nathibitisha kuwa amefikisha habari kwetu kutoa zawadi ya thamani ya shilingi elfu ishirini (20,000/-) kwa ajili ya mshindi atakaye bahatika post yake kuwa ya kwanza kuingia ukurasa wa 100 katika uzi huu.

Kwa taarifa zaidi wasiliana na Mkuu Matola ambaye ni mwandalizi wa zawadi hii. Zawadi hiyo itatolewa na Moderator wa JF.

Wasalaam!

woyoooooooo tumekuelewa ngoja nijitahidi niichukue mie bure
 
" Ujana Kiza Na Nuru"- Ali Kiba

Ndugu zangu,
Nimependa tungo za mwanamuziki huyu Ali Kiba kwenye wimbo wake wa ' Mwana'. Amenikumbusha mwandishi na mshairi mahiri Shaaban Robert. Yeye anasema;"Ujana ni nusu ya uwendawazimu". Na mimi namwambia Ali Kiba, kuwa mwanadamu hukimbia wingu, haikimbii mvua.
Pichani nikiwa juu Africa House, Zanzibar, Januari 1989. Ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuvuka bahari. Nilikuwa kijana mdogo sana mwenye kiu kubwa ya kujifunza. Na kwenye Jahazi lile nililopanda liitwalo ' Ras Nungwi' hakukuwa na kwenda tezi wala omo, abiria wote tulituama ngamani. Jahazi lilijaza magunia ya chumvi na liliyumba haswa pale pwani ya Msasani. Na miaka michache baadae nikaambiwa Ras Nungwi imezama pwani ya Mombasa..!
Maggid ,
Iringa.

Namfahamu Maggid Mjengwa, ni mtu makini sana. Nilifahamiana naye safarini Norway, alikuwa anaenda masomoni.
Mara nyingi huwasifu hadharani wanasiasa mahiri tu wa Kitaifa na Kimataifa, si shabiki sana wa muziki wa Bongo Flava.
Baada ya andiko lake hilo lililoletwa hapa kwa msaada wa Matola nimeongea naye, amesema kwa sasa yeye shabiki mkubwa wa Kiba.
Ameipenda sana Mwana, ni wimbo wenye elimu kubwa kwa jamii, ni wimbo utakaoishi miaka mingi kama tungo za hayati Shaaban Robert.
Amesema, ni wimbo uliomshangaza kwani ni wimbo mzuri unaopendwa na wengi, lakini haukuimba mapenzi na kumaliza ila dhana kwamba wimbo hautambi bila kuimba mapenzi.
Wimbo umezungumzia tatizo lililopo sasa la dawa za kulevya, umeelezea athari za vijana kukimbilia mijini bila kujua wanachokifuata huku wakiacha maisha mazuri wanakotoka.
Amesema mafanikio ya wimbo huu unaweza kuleta mapinduzi makubwa ya Bongo Flava, kutoka kuimba mapenzi na starehe hadi kuonya na kuelimisha bila kuweka mafumbo.
Kiukweli Maggid amefanya nifurahi sana kuwa shabiki wa Kiba, kwani niko mahala sahihi, hivyo wengine watatufuata kama alivyotufuata Maggid.
Ova
 
Last edited by a moderator:
Kwa hisani ya Mkuu Matola, nathibitisha kuwa amefikisha habari kwetu kutoa zawadi ya thamani ya shilingi elfu ishirini (20,000/-) kwa ajili ya mshindi atakaye bahatika post yake kuwa ya kwanza kuingia ukurasa wa 100 katika uzi huu.

Kwa taarifa zaidi wasiliana na Mkuu Matola ambaye ni mwandalizi wa zawadi hii. Zawadi hiyo itatolewa na Moderator wa JF.

Wasalaam!

Roho imenipasuka jamani.....zawadi ni zawadi tu asikuambie mtu,unaweza ukawa tajiri wa kila kitu lakini ukapewa zawadi hata ya ua likakutoa machozi!!!
 
Umetumwa kuja kuharibu huu uzi nini?nikiwa kama mtaalamu wa uwianisho wa typing na harufu nimejaribu kukufuatilia kidogo nimegundua una matatizo ya kutoa kiharufu sehemu za siri....sasa ili tukusikikize kajisafishe na jipulizie unyunyu ndo uje humu

Ahsante sana kwa kunisaidia kumjibu...huwezi kuamini umenipoza hasira nilikua nimekasirika hatari... kama usingemjibu pangechafuka hapa maana hako katoto kanatafuta kick hapa kijinga...bahati yake
 
Kwa hisani ya Mkuu Matola, nathibitisha kuwa amefikisha habari kwetu kutoa zawadi ya thamani ya shilingi elfu ishirini (20,000/-) kwa ajili ya mshindi atakaye bahatika post yake kuwa ya kwanza kuingia ukurasa wa 100 katika uzi huu.

Kwa taarifa zaidi wasiliana na Mkuu Matola ambaye ni mwandalizi wa zawadi hii. Zawadi hiyo itatolewa na Moderator wa JF.

Wasalaam!

Asante, pia kuna mpango gani wa kuufanya huu uzi kuwa wa kudumu hapa (sticky), kwani naona una sifa nyingi za kuwa hivyo.
Shukrani.
Ova
 
Namfahamu Maggid Mjengwa, ni mtu makini sana. Nilifahamiana naye safarini Norway, alikuwa anaenda masomoni.
Mara nyingi huwasifu hadharani wanasiasa mahiri tu wa Kitaifa na Kimataifa, si shabiki sana wa muziki wa Bongo Flava.
Baada ya andiko lake hilo lililoletwa hapa kwa msaada wa Matola nimeongea naye, amesema kwa sasa yeye shabiki mkubwa wa Kiba.
Ameipenda sana Mwana, ni wimbo wenye elimu kubwa kwa jamii, ni wimbo utakaoishi miaka mingi kama tungo za hayati Shaaban Robert.
Amesema, ni wimbo uliomshangaza kwani ni wimbo mzuri unaopendwa na wengi, lakini haukuimba mapenzi na kumaliza ila dhana kwamba wimbo hautambi bila kuimba mapenzi.
Wimbo umezungumzia tatizo lililopo sasa la dawa za kulevya, umeelezea athari za vijana kukimbilia mijini bila kujua wanachokifuata huku wakiacha maisha mazuri wanakotoka.
Amesema mafanikio ya wimbo huu unaweza kuleta mapinduzi makubwa ya Bongo Flava, kutoka kuimba mapenzi na starehe hadi kuonya na kuelimisha bila kuweka mafumbo.
Kiukweli Maggid amefanya nifurahi sana kuwa shabiki wa Kiba, kwani niko mahala sahihi, hivyo wengine watatufuata kama alivyotufuata Maggid.
Ova

Kiukweli huyu jamaa napenda sana kusoma makala zake,ni mtu mwenye kutumia akili nyingi na busara katika uandishi wake yakinifu.
Kwa hili sishangai kwani Ali Kiba naye yuko hivyo hivyo kama Maggid katika tungo zake,zaidi naungana na wewe katika kufurahi....nimepata amani sana moyoni kwa kazi za Ali Kiba kusifiwa na gwiji huyo mwenye heshima kubwa nchini.
 
Last edited by a moderator:
" Ujana Kiza Na Nuru"- Ali Kiba

Ndugu zangu,
Nimependa tungo za mwanamuziki huyu Ali Kiba kwenye wimbo wake wa ' Mwana'. Amenikumbusha mwandishi na mshairi mahiri Shaaban Robert. Yeye anasema;"Ujana ni nusu ya uwendawazimu". Na mimi namwambia Ali Kiba, kuwa mwanadamu hukimbia wingu, haikimbii mvua.
Pichani nikiwa juu Africa House, Zanzibar, Januari 1989. Ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuvuka bahari. Nilikuwa kijana mdogo sana mwenye kiu kubwa ya kujifunza. Na kwenye Jahazi lile nililopanda liitwalo ' Ras Nungwi' hakukuwa na kwenda tezi wala omo, abiria wote tulituama ngamani. Jahazi lilijaza magunia ya chumvi na liliyumba haswa pale pwani ya Msasani. Na miaka michache baadae nikaambiwa Ras Nungwi imezama pwani ya Mombasa..!
Maggid ,
Iringa.

Sasa Matola naona umeanza kuyafanya vyema majukumu yako katika uzi huu,haya ndiyo mambo tunayoyataka kuyaona hapa...natuamini huu ni mwanzo tu mengine mazuri zaidi yanakuja.
 
Last edited by a moderator:
Asante, pia kuna mpango gani wa kuufanya huu uzi kuwa wa kudumu hapa (sticky), kwani naona una sifa nyingi za kuwa hivyo.
Shukrani.
Ova

Swali zuri sana,ahsante kwa kuliuliza maana wenzio tumechanganyikiwa na Le Tamkoz u know......hahahaaaaa
 
namfahamu maggid mjengwa, ni mtu makini sana. Nilifahamiana naye safarini norway, alikuwa anaenda masomoni.
Mara nyingi huwasifu hadharani wanasiasa mahiri tu wa kitaifa na kimataifa, si shabiki sana wa muziki wa bongo flava.
Baada ya andiko lake hilo lililoletwa hapa kwa msaada wa matola nimeongea naye, amesema kwa sasa yeye shabiki mkubwa wa kiba.
Ameipenda sana mwana, ni wimbo wenye elimu kubwa kwa jamii, ni wimbo utakaoishi miaka mingi kama tungo za hayati shaaban robert.
Amesema, ni wimbo uliomshangaza kwani ni wimbo mzuri unaopendwa na wengi, lakini haukuimba mapenzi na kumaliza ila dhana kwamba wimbo hautambi bila kuimba mapenzi.
Wimbo umezungumzia tatizo lililopo sasa la dawa za kulevya, umeelezea athari za vijana kukimbilia mijini bila kujua wanachokifuata huku wakiacha maisha mazuri wanakotoka.
Amesema mafanikio ya wimbo huu unaweza kuleta mapinduzi makubwa ya bongo flava, kutoka kuimba mapenzi na starehe hadi kuonya na kuelimisha bila kuweka mafumbo.
Kiukweli maggid amefanya nifurahi sana kuwa shabiki wa kiba, kwani niko mahala sahihi, hivyo wengine watatufuata kama alivyotufuata maggid.
Ova

aiseee umenipa hamasa ya kuzidi kiba
 
Last edited by a moderator:
Hapa naona familia nzima ya mtaa wa pili iko humu ndani, nadhani wanajiingiza kwa mlango wa nyuma kuwania bundle. Mwanzoni sikujua kwanini Zaa Katoto na Chinga wameingia kwa kasi humu, kumbe wanatolea macho bundle.
Kwa mtindo huo basi mtakuwa busy sana na uzi huu, kwani huo ni mwanzo tu, mambo mazuri yatakuja baada ya kupatikana mshindi.
Hongera Matola kwa ubunifu huu.
Ova
 
Last edited by a moderator:
'Nilipokuwa mdogo,niliambiwa sana kua uone!
Binadamu wabaya na wazuri Ali,kua uone!
Kuna maghorofa na majumba mazuri ila bado kuna maisha,ya kunyanyasika na kudharaulika haya maisha ya dunia' by Ali Kiba mchizi wa ghetto Tanzanian boy the gang tamele!

'Zile kua uone,nilidhani maghorofa!
Aah kumbe mwana ukome,hakuna cha kuokota' by diamond platinumz,all da way from Tanzania. Rais wa wasafi.

'Nlikuwepo':bolt:
 
'Nilipokuwa mdogo,niliambiwa sana kua uone!
Binadamu wabaya na wazuri Ali,kua uone!
Kuna maghorofa na majumba mazuri ila bado kuna maisha,ya kunyanyasika na kudharaulika haya maisha ya dunia' by Ali Kiba mchizi wa ghetto Tanzanian boy the gang tamele!

'Zile kua uone,nilidhani maghorofa!
Aah kumbe mwana ukome,hakuna cha kuokota' by diamond platinumz,all da way from Tanzania. Rais wa wasafi.

'Nlikuwepo':bolt:

Wewe nae ndio nini hiki sasa?hatutaki kusikia jina la huyo nyang'au hapa....umeanza vizuri mwisho ukaharibu,aaaarrrrgggg 😡😡
 
Hapa naona familia nzima ya mtaa wa pili iko humu ndani, nadhani wanajiingiza kwa mlango wa nyuma kuwania bundle. Mwanzoni sikujua kwanini Zaa Katoto na Chinga wameingia kwa kasi humu, kumbe wanatolea macho bundle.
Kwa mtindo huo basi mtakuwa busy sana na uzi huu, kwani huo ni mwanzo tu, mambo mazuri yatakuja baada ya kupatikana mshindi.
Hongera Matola kwa ubunifu huu.
Ova

Haha haaaa naona hadi chinga kaja kutukumbusha methali za std 4 humu....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom