Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Haaa Matola,wameiga tena idea yakooo!alafu naona wanashindana kujaza page kinguvuuu....kudadeki mtaiga mpaka id!Matopa kule umefata nn....
 
Sikuelewa...Matola njoo utoe ufafanuzi y unamchekea nyani huku unamtazama usoni...unafanyiwa mzaha naww unachekelea umeniudhi mkuu....!!
 
Haaa Matola,wameiga tena idea yakooo!alafu naona wanashindana kujaza page kinguvuuu....kudadeki mtaiga mpaka id!Matopa kule umefata nn....

whaaat!! ucniambie!!! c walijifanya kutuponda eti umbe viroho vinawadundaaaa!! kiruuuuu na bado wataiga kila kitu,, Kibaaaaaaaa
 
Hahahaaaaa umeniua jamani!kumbe umeajiriwa na kanjibhai....haya tutaonana baadae kibarua kisiote nyasi tukakupoteza buuuure..
Usijali wangu!Hawa jamaa huwezi kuwakwepa kama umepitia COET....otherwise uwe una vinasaba na watawala!
Wanatubana sana maofisin then tukitoka job tuna relax na Nyimbo kali za Ally Kiba..........
 
Usijali wangu!Hawa jamaa huwezi kuwakwepa kama umepitia COET....otherwise uwe una vinasaba na watawala!
Wanatubana sana maofisin then tukitoka job tuna relax na Nyimbo kali za Ally Kiba..........

Hahaaaa ndio maisha hayo ndio maana tunamshukuru Mungu kwa uwepo wa watu kama Kiba wanatupoza
 
basi viroho vinawatokaje watu!! wanatoa sababu za kitotooo za kujifariji, ujinga mzigo wa miiba
Mbona wana copy and paste?But wakumbuke hata kama wana haraka kias gani hawawezi omba lifti gari ya mkaa.......
 
Haaa Matola,wameiga tena idea yakooo!alafu naona wanashindana kujaza page kinguvuuu....kudadeki mtaiga mpaka id!Matopa kule umefata nn....

Page zinajaa wapi mama hawana hata cha kujadili nawaonea huruma tuu
 
cheka tu mama maana wewe hubandukagi humu, kweli wewe shabiki wa damu

Nabandukaje sasa jamani?hii thread imekua sehemu ya maisha yangu na nyie ni kama ndugu zangu,nikitoka kidogo tu nawamiss hatariiii
 
Sikuelewa...Matola njoo utoe ufafanuzi y unamchekea nyani huku unamtazama usoni...unafanyiwa mzaha naww unachekelea umeniudhi mkuu....!!

Ni ujio wa umri tu busara zinaongezeka, unaweza sometime ukatumia trick za mamba anameza kiumbe uku machozi yanamtoka.

But/lakini ninachokuhakikishia ni kwamba they will dance our song all the time.
 
Back
Top Bottom