Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

hhaaaahaaa achana nao bwana,usiende kushusha hesma yako buure kule kwenye matusi special thread

haki ya mungu kule kuna matusi mi huwezi amini ht kupita sipiti kuangalia mi unajua mtata sana ndo mana napotezea sana ila matusi siku nikuja kutukana mtashangaa mno na hamtoamini ...!!!
 
cjui kapanda treni maana toka aseme yupo safarini hata hafiki, geniverose hebu ukuje huku utumie hilo bando

ndo nimefika si mnajua mama mwenye nyumba sharti usalimie,ntalitumia effectively
waacheni waite maskini,kapuku,hohehahaheee...yoooote waseme ndo nshachukua hela ya matola,
semeni weee najua wamezaliwa kusema so i dont give a damn about anything...!!!
Wanahashuka tu wanatamani sana kupata ila kkkkhhhhhaaaaa ptuuuuuu washakosa
wapo wapo tu hawana mbele wala nyuma km nyoka wa vichwa viwili vile
wataisoma kaniki japo haina maandishi
wasambinungwa waleeeee....!!!
 
Last edited by a moderator:
jana nlikua home kwetu tukawa tunaongelea kuhusu wasanii akatokea mdogo wangu na mama wote wanampenda kiba nkamwambia b.mkubwa hadi wewee akasema"ndio"
tuko wengi sana

Ijumaa nilikwenda kula lunch pale Octa's pub kinondoni pembeni ya ubalozi wa France baada ya kushiba tukapata uvivu kuondoka tukaanza mitungi mpaka usiku mkubwa.

Mwanzoni zilikuwa zinapigwa flash back oldies, lakini kilipoingia kiza zilipigwa 3 kali za Diamond na za Kiba, Company yangu hawajui sana mambo ya bongo fleva mimi nikashindwa kujizuia ilipopigwa You are my everthing nikawaambia washkaji hebu msikilizeni kwa makini Kiba huyo, mshikaji mmoja ambaye ni mpenzi wa country na Regge akaniuliza huyu dogo ndio aliimba na R Kelly?

Nilishindwa kumpa jibu maana jamaa hajui lolote kuhusu Bongo fleva lakini anajuwa tu kuna dogo anaimba Bongo Fleva aliimba na R Kerry.

Nitarudi namuona mwanasheria mkuu kwe kichupa anadanganya wabunge wacha niende jukwaa la siasa kwanza.

Nitarejea.........
 
umeona eeeeh!
Ebu fikiria verse kama hii unaidadavua mbele ya wanafunzi wakiwemo wale matozi wa darasa....

"we bado mtoto kwa mama hujayajua mengi.
Mwenda tezi na omo marejeo ngamani
amesema sana mama dunia tambala bovu ee
kuna asali na shubiri ujana giza na nuru"

lazima wakune vichwa ati!
Dah shikamoo kiba!

shikamooo kiba wana hasira na kiba maana kawapiga madongo wanaokuja mjini kwa mbio za mwenge
 
ijumaa nilikwenda kula lunch pale octa's pub kinondoni pembeni ya ubalozi wa france baada ya kushiba tukapata uvivu kuondoka tukaanza mitungi mpaka usiku mkubwa.

Mwanzoni zilikuwa zinapigwa flash back oldies, lakini kilipoingia kiza zilipigwa 3 kali za diamond na za kiba, company yangu hawajui sana mambo ya bongo fleva mimi nikashindwa kujizuia ilipopigwa you are my everthing nikawaambia washkaji hebu msikilizeni kwa makini kiba huyo, mshikaji mmoja ambaye ni mpenzi wa country na regge akaniuliza huyu dogo ndio aliimba na r kelly?

Nilishindwa kumpa jibu maana jamaa hajui lolote kuhusu bongo fleva lakini anajuwa tu kuna dogo anaimba bongo fleva aliimba na r kerry.

Nitarudi namuona mwanasheria mkuu kwe kichupa anadanganya wabunge wacha niende jukwaa la siasa kwanza.

Nitarejea.........

kiba bwana namba nyingine kabisa...!!
 
Sasa leo angalieni Nirvana nyie mnaosemaga Kiba anavaa moka ndio muone mitupio yake sio blah blah zenu za vijiweni
 

Attachments

  • 1416843623025.jpg
    1416843623025.jpg
    8.3 KB · Views: 82
  • 1416843642261.jpg
    1416843642261.jpg
    9 KB · Views: 78
Balaa la Kiba zito. ..kila angle anagusa kwenye nyimbo zake. .ile dushelele ile dah!haikupewa heshima yake ila ni bonge la ngoma!ukiisikiliza karim unaweza ukalia jinsi Kiba anaimba kwa huzuni
 
Balaa la Kiba zito. ..kila angle anagusa kwenye nyimbo zake. .ile dushelele ile dah!haikupewa heshima yake ila ni bonge la ngoma!ukiisikiliza karim unaweza ukalia jinsi Kiba anaimba kwa huzuni

Mkuu hebu nisaidie jukumu la kumpata huyu kiumbe tumfunde hapa maana huyu jamaa nilishangaa alivyoichukulia poa nyimbo ya dushelele wakati mpaka leo inabamba!!

Mwana asubuhi nina kazi ofisi moja mitaa ya kino breakfast meridian au PR karibu na mwanamboka ebu tugumiane maeneo tuweke mambo vizuri.
 
We umeutizama kwa upande wa pili kama ninavyoutizama mimi.
Richa ya buruda tunayoipata lakini pia huu wimbo unamlengo muhimu sana.
Asante Kiba kwa kutokukurupuka!

Speaking of Kiri Music Awards....heheh ngoja tu nimezee kwanza!!

mama 'r' na 'l' naona zinavyokupa taabu km mtu fulani, dh z ndio zimemshinda, tukisema kiba anaweza wanakataa, kiba hata lugha anaijua
 
ndo nimefika si mnajua mama mwenye nyumba sharti usalimie,ntalitumia effectively
waacheni waite maskini,kapuku,hohehahaheee...yoooote waseme ndo nshachukua hela ya matola,
semeni weee najua wamezaliwa kusema so i dont give a damn about anything...!!!
Wanahashuka tu wanatamani sana kupata ila kkkkhhhhhaaaaa ptuuuuuu washakosa
wapo wapo tu hawana mbele wala nyuma km nyoka wa vichwa viwili vile
wataisoma kaniki japo haina maandishi
wasambinungwa waleeeee....!!!

msinisemee msisemeeeeee msinisemeee kama nampenda KIBA
 
Back
Top Bottom