Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
mbona unacheka kwa aibu aibu!
Mhhhh mtoto mbea wewe,nitakua sitoki out na wewe!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona unacheka kwa aibu aibu!
Toka out na mieee tuu,eti ee!Mhhhh mtoto mbea wewe,nitakua sitoki out na wewe!!!
Nimekutolea mfano wa mtu ambaye ana majukumu mengi. Wala hakuna mtu atakayekulamisha kuamini tofauti na unavyoamini, coz hatujui malezi yako.
Ila binafsi sipotezi muda, miradi na kazi zangu zinaenda na kukua kila siku, na bado niko hapa namshabikia Kiba, kwa muda ambao hata wewe uko hapa pia, ila bado hupotezi muda.
Ova
Nilikua busy kidogo napika mpenzi,mwanamke jiko mama sio kila kitu house g.....heheheeeer
Mhhhh mtoto mbea wewe,nitakua sitoki out na wewe!!!
Oyayeeee...mbona unajitesa sana,omame×3 haya mameee....aeeeee uwiiiii penda Kiba sana mimi
Kwa vichache ulivyofuata,ni vingi ulivyoachaaa...Kwa mama yako mwana na baba yako mwana
sanaaaaaa tu
furaha ikizidi kulia kidogo ni suna
Nampenda kiba shabiki wa damu(msaga sumu voice)
Karibu home long time no see!umejikaza wee ukaona bora uje kupumua na kujipa raha ya nafsi kwa kuwaongelesha masahbiki wa King!We are humbled u know kupata wageni mara kwa mara kutoka mtaa wa pili hapa ni mtakuja mummy!!
Hellow wapenda mimi ni mpnz mkubwa wa alikiba na huu uzi umenivutia kujiunga jf maana nimeona nisiishie kusoma tu napitwa na mengi support pia yatakiwa nampenda kiba mpaka naharisha uuuuwi wenye chuki na wachukie tu.
sanaaaa na unaanzaje kumchukia kiba jamani!!! lazima uwe una matatizo!!! hahaaaa hilo neno "king" linawatoa watu roho jamani, mashabiki ndio tushampa hicho cheo sasa km hutaki kanywe tindikali
Kariiibu home Ladatho!!Nimefurahi sana karibu katika familia bora,yenye malezi bora!!Ingawa najua watu itawauma mpaka wapate degedege la nafsi wanabaki kujipitisha tu hapa kama mbu!!kariiibuu
Karibu home long time no see!umejikaza wee ukaona bora uje kupumua na kujipa raha ya nafsi kwa kuwaongelesha masahbiki wa King!We are humbled u know kupata wageni mara kwa mara kutoka mtaa wa pili hapa ni mtakuja mummy!!
bahat nzuri ni kuwa unakwendaga mwenyewe ila ukirudi unanidolishia!! we haya tu