Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mara ooh am out,sijazoea mie mara ugly facesz!!Paula Kilaki wewe una vituko sana!!So sie tuna sura mbaya ya kwako nzuri!!Hapa hatujaja kuuza nyago bibi huu ushabiki tuuu!!Roho isikutoke bureee kama unagaiwa hata sentiii!!Maneno yanakutoka kama umemeza redio!!Kiba tumemchagua sie wala hatukulazimishwa!!

Wana ubavu wa kuacha kuja huku thubutuuuuu wanakosaje sasa kuja kwa king. Wanajishaua wakati viboyfriend vyao kutwa vinawaimbia naksh naksh
 
Mara ooh am out,sijazoea mie mara ugly facesz!!Paula Kilaki wewe una vituko sana!!So sie tuna sura mbaya ya kwako nzuri!!Hapa hatujaja kuuza nyago bibi huu ushabiki tuuu!!Roho isikutoke bureee kama unagaiwa hata sentiii!!Maneno yanakutoka kama umemeza redio!!Kiba tumemchagua sie wala hatukulazimishwa!!

sura zenye stress always ni mbaya, hazina mvuto kwa kifupi, lini mmecheka kwa mfano?? lini mmepokea habari njema toka kwa muumpendae??? nikisema mnaishi kwa matumaini ninamaanisha.
 
sura zenye stress always ni mbaya, hazina mvuto kwa kifupi, lini mmecheka kwa mfano?? lini mmepokea habari njema toka kwa muumpendae??? nikisema mnaishi kwa matumaini ninamaanisha.

HhhhhhhaaaaaaaaaaaaaahhhhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaAAAAAaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Yaani kweli nimeamini kusoma kuelewa na cku zote jasir haachi asili hata hawajishtukii hawa watu mbna kule hawaji kweli ukiuzoea huu ule huuwez utachoka miguu kwa utembezi. #Kiba4life
 
Wapi Nifah,Matola,Geniveros,Mdakuzi,Atoto,Diva Bayonce,Avemaria na wengine malakiii!!Etiii nani mfalmeee?nani anawapalia kooni kama pilipili??haaaa!!kweli Kiba mkali!!

wenzio wajanja wamekimbia wamekususia uzi, uzi gani sasa kila siku kuliwazana, unaonaje tukikutana airport tukapokee tuzo eee rafiki???
 
HhhhhhhaaaaaaaaaaaaaahhhhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaAAAAAaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kuna sura mbaya zaidi ya Diamond hapa tz??Sura mbaya mwanamke sunna!!Hatufahamiani tukionana mtajificha mtalia Mungu kawaonea!!Mmemaliza matusi mmekuja na sura poor argument ever!!
 
Utajifia na mistress bure... Karibu kwetu tuka party.... Waite na wenzako akina geniveros nifah atoto

mpooze makoo na ka soda.

Hhhhhhaaaaaaaaa taratibu angalia wanavyokoment bila mpango povu baya jamaniii yaan wananunaaa na wamekomeshwaa maana asingepata wangeshangiliaaaaa vibayaa hawaa vidampa
 
Last edited by a moderator:
wenzio wajanja wamekimbia wamekususia uzi, uzi gani sasa kila siku kuliwazana, unaonaje tukikutana airport tukapokee tuzo eee rafiki???
Wameususia uzi?kwi kwi kwi!!Tuliza kisebengo watu wana shughuli za kifamilia na uchumi hawawezi kushinda humu kama nyie?ivi chooni mnaenda kweli??Humu sie tunakuja kama kupata burudani yani leisure so unataka waache mambo yao ya maana wakomae hapa kutwa kuchwa!!shame!!
 
wenzio wajanja wamekimbia wamekususia uzi, uzi gani sasa kila siku kuliwazana, unaonaje tukikutana airport tukapokee tuzo eee rafiki???

ha ha ha ha ha haaa. , wenzie wamekimbiaaaaaa..

Na bado, mpaka wabadili ID.
 
Kuna sura mbaya zaidi ya Diamond hapa tz??Sura mbaya mwanamke sunna!!Hatufahamiani tukionana mtajificha mtalia Mungu kawaonea!!Mmemaliza matusi mmekuja na sura poor argument ever!!

Kuna sehemu nimetaja sura mimi aiseee poleee kunywa panadol na maji mengiii, ,,we umekazana na sura ya dai huoni anang'oa watoto wakareeeeeeeee,,,,

Mwanaume hasifiwi suraaa anasifiwa kaziiiiiii
 
Kibaaaa wanakuweweseka sana!!Hatareeee misukule ya mtaa wa piliii!!Mnakesha na kuamkia humu hata mtembee uchiiii Kiba hatumwachi!!Afu nyie kaeni tu humu hata miswaki mnasahau kupiga...other things kwetu ni more important pia kuliko ushabiki msukule!!
 
ha ha ha ha ha haaa. , wenzie wamekimbiaaaaaa..

Na bado, mpaka wabadili ID.

Hhhhhhaaaaaa data yaan leooo mbavu mi zitaumaaa,,,tutakutana nao Airpot kumpokea chibu aka platnum,sukari ya waremboooi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom