data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara ooh am out,sijazoea mie mara ugly facesz!!Paula Kilaki wewe una vituko sana!!So sie tuna sura mbaya ya kwako nzuri!!Hapa hatujaja kuuza nyago bibi huu ushabiki tuuu!!Roho isikutoke bureee kama unagaiwa hata sentiii!!Maneno yanakutoka kama umemeza redio!!Kiba tumemchagua sie wala hatukulazimishwa!!
Kwendraaaaa!!
Mara ooh am out,sijazoea mie mara ugly facesz!!Paula Kilaki wewe una vituko sana!!So sie tuna sura mbaya ya kwako nzuri!!Hapa hatujaja kuuza nyago bibi huu ushabiki tuuu!!Roho isikutoke bureee kama unagaiwa hata sentiii!!Maneno yanakutoka kama umemeza redio!!Kiba tumemchagua sie wala hatukulazimishwa!!
sura zenye stress always ni mbaya, hazina mvuto kwa kifupi, lini mmecheka kwa mfano?? lini mmepokea habari njema toka kwa muumpendae??? nikisema mnaishi kwa matumaini ninamaanisha.
View attachment 206701kizuri kula na nduguyo, pamoja tusherekee waungwana.
Msikate tamaa mtafika level hizi, ile sio leo wala kesho.
Wapi Nifah,Matola,Geniveros,Mdakuzi,Atoto,Diva Bayonce,Avemaria na wengine malakiii!!Etiii nani mfalmeee?nani anawapalia kooni kama pilipili??haaaa!!kweli Kiba mkali!!
Kuna sura mbaya zaidi ya Diamond hapa tz??Sura mbaya mwanamke sunna!!Hatufahamiani tukionana mtajificha mtalia Mungu kawaonea!!Mmemaliza matusi mmekuja na sura poor argument ever!!HhhhhhhaaaaaaaaaaaaaahhhhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaAAAAAaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Wameususia uzi?kwi kwi kwi!!Tuliza kisebengo watu wana shughuli za kifamilia na uchumi hawawezi kushinda humu kama nyie?ivi chooni mnaenda kweli??Humu sie tunakuja kama kupata burudani yani leisure so unataka waache mambo yao ya maana wakomae hapa kutwa kuchwa!!shame!!wenzio wajanja wamekimbia wamekususia uzi, uzi gani sasa kila siku kuliwazana, unaonaje tukikutana airport tukapokee tuzo eee rafiki???
wenzio wajanja wamekimbia wamekususia uzi, uzi gani sasa kila siku kuliwazana, unaonaje tukikutana airport tukapokee tuzo eee rafiki???
Hhhhhaaaaaaaaaaaa😀😀😀😀😀😀😀😀
Kuna sura mbaya zaidi ya Diamond hapa tz??Sura mbaya mwanamke sunna!!Hatufahamiani tukionana mtajificha mtalia Mungu kawaonea!!Mmemaliza matusi mmekuja na sura poor argument ever!!
Wapi Nifah,Matola,Geniveros,Mdakuzi,Atoto,Diva Bayonce,Avemaria na wengine malakiii!!Etiii nani mfalmeee?nani anawapalia kooni kama pilipili??haaaa!!kweli Kiba mkali!!
wenzio wajanja wamekimbia wamekususia uzi, uzi gani sasa kila siku kuliwazana, unaonaje tukikutana airport tukapokee tuzo eee rafiki???
wapi waliosema zile tuzo 7 za klm alihonga, embu akuje aseme na hizi za jana kamhonga nani.