Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Let me say BIG UP DIAMOND PLATNUMZ.

Umetufanya tuone muziki wetu umekua sasa. Tunzo 3 ni hatua kubwa sana kila Msanii anapenda kuifikia. Ngoja niseme Hongera sana Diamond. This time around yoi did it.😀
 
Jamani,jamani!
Hili ni le Tamkoz + Ombiz kwa shem wetu mpendwa kwa Ms.Lincoln
Muache shost yetu ajiburudishe nafsi yake kwa akipendacho (Kiba's music).Amini yupo katika mikono salama kwenye hii familia ya kistaarabu...ondoa shaka kabisa.

Ni matumaini yangu kua utanielewa shem darling....
Ha ha ha haaaa!!U made my day Nifah!!Le super tamkozz hili ni hatariii nadhani ameanza kuelewa Amante!!Naona saa izi anatingisha kichwa bila kujielewa anafuatisha midundo ya Mwana!!Hatareee Mwana Kiboko yao!!
Ahsante kwa kuniombea poo inabidi aelewe shem darling wakoo!!
 
Last edited by a moderator:
Nguruwee pitaaa!!Sina mkuki mieee...wewe haramuu kwanguu!!sijakuzaa mieee!!
 
Ha ha ha haaaa!!U made my day Nifah!!Le super tamkozz hili ni hatariii nadhani ameanza kuelewa Amante!!Naona saa izi anatingisha kichwa bila kujielewa anafuatisha midundo ya Mwana!!Hatareee Mwana Kiboko yao!!
Ahsante kwa kuniombea poo inabidi aelewe shem darling wakoo!!

Hahaaaa usijali my dear,napenda kukuona ukiwa huru na furaha
Tumekua ndugu sasa
 
Dah! Jamaa utakuwa unanikubali sana, yaani kwa kuandika hivyo tu umeona nimetumia akili nyingi sana. Asante kwa kunikubali, lakini ukweli wala sikutumia akili nyingi, kwani wakati naandika hiyo ndo nilikuwa nimetoka kulala.
Kwa huku niliko niliiandika saa 8 usiku, after kupokea Simu ya familia na kuzungumza nayo. Huwa natumia akili nyingi kwa kazi zilizonileta huku, kwangu muziki ni burudani tu kama ilivyo soka.
Ukweli upi uliopindishwa? Kwamba maelezo yangu yamesema Nassib hakupata tuzo? Si kweli kwamba studio kuu ya Channel O iko SA? Si kweli kwamba studio kuu ya MTV Base iko Nigeria? Si kweli kwamba CHOAMVA ni Tuzo za kituo cha TV?
Kwa taarifa yako Tuzo zina sarakasi nyingi sana, unajua kama Kanye West aliwahi kupanda ghafla jukwaani na kuponda Beyonce kunyimwa Tuzo aliyokuwa akiwania na Taylor Swift? Yote hiyo ni kwa sababu ya sarakasi za Tuzo. Matola kakueleza kwamba Westside Connection walikuwa wakali watupu na walitoa nyimbo kali tupu na hawakuwahi kupata tuzo?
Ova

shikamoo tena
mi napenda hivi
 
Last edited by a moderator:
my dear unatumia kiswahili kigumu mnooo thats y hawakuelewi!!! hebu ungeweka vijembe kidogo angalau wangepata mwangaza, hahaaaaaaa! mwl geniveros labda uchukue viboko alafu uende nao taratibu wataelewa somo japo kwa muda mrefu, ila najua uvumilivu kadia yako

slow learners viboko havisaidii
dawa yao hawa ni kutumia participation method during teaching and learning process
adhabu zao ni kua mvumilivu tu
 
Last edited by a moderator:
slow learners viboko havisaidii
dawa yao hawa ni kutumia participation method during teaching and learning process
adhabu zao ni kua mvumilivu tu

mwl at ur best, aminia sanaaaaaa
 
escrow imachanganya watu jamani hadi kusoma wamesahau, jiburudisheni na kiba mtaelewa tu
 
Back
Top Bottom