Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha haaaa eti kaiokota!!ni sheedah
Kwa kweli katika hili alinishangaza sana!!Kwa kweli Kiba katika swala la kutumia fursa vizuri hayumo kabisa,inabidi abadilike aisee!!Y hakufanya collabo hata na twoface!!
hahahaaaa! unickie nikisema nn?
Sana my dear...this time tungekua tunaongea mengine hapa
Kwa kweli katika hili alinishangaza sana!!Kwa kweli Kiba katika swala la kutumia fursa vizuri hayumo kabisa,inabidi abadilike aisee!!Y hakufanya collabo hata na twoface!!
yaani hawa viumbe hawa!!! basi tu kwakuwa imeandikwa
yaani yupoyupo tu na ashukuru ana kipaji, ila inatakiwa atambue kuwa kipaji pekee hakitoshi so juhudi inahitajika tena sanaa, tatizo anaridhika mno utadhani 20%, inatakiwa achangamke sasa
Wewe subiri ukisema tu nitakukumbusha
Kabisa aliuambia ulimwengu amerudi!!na sisi tukajisikia faraja sanaa baada ya kuterekezwa kwa muda mrefu,sasa afanye muziki kama biashara na kazi halisi,sio maswala ya uzembe na kusinzia!!Sisi penda yeye sana!!
Imeandikwa nini?sio lazima bwana...maana hufi ukikosa.....
Kabisa aliuambia ulimwengu amerudi!!na sisi tukajisikia faraja sanaa baada ya kuterekezwa kwa muda mrefu,sasa afanye muziki kama biashara na kazi halisi,sio maswala ya uzembe na kusinzia!!Sisi penda yeye sana!!
Matola nayeee!!jana alipropose ujueee!!sasa hao wotee haa!!nifah mbona hapo kwa Mdakuzi pamekugusaaa!!