kedrick
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 5,080
- 4,914
![]()
umewaona hawa 1.hawakuwa na bifu na mtu 2.walipendwa na mashabiki 3.walikuwa na vipaji 4.walikuwa na heshima 5.wanajua kuimba
swali nani aliwashusha kimziki???
acheni jeuri jamani hii ni bongo tutamsahau mtu sekende tu
Ujui hao wavuta unga,unatumia madawa unatarajia,nn