Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,461
- 35,218
Inatoka lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inatoka lini?
This monthInatoka lini?
Audio na video au?This month
Yap vyote soon #lupelaAudio na video au?
Bora aisee. Thanks kwa info. Let us wait for #lupelaYap vyote soon #lupela
2016 mambo safi kabisa team kibaBora aisee. Thanks kwa info. Let us wait for #lupela
Hahahahaaa wewe nae?Mbona sisi hatukuhoji Nana ni nini?Lupela maana yake nini?
Haha #Nana sio neno kile ni kibwagizo" #i cnt wait for Rupela nahic kutakua na mauno huko hatari na jina lenyewe lilivyokaaHahahahaaa wewe nae?Mbona sisi hatukuhoji Nana ni nini?
I hope wimbo and video. Zitakuwa nzuri sana2016 mambo safi kabisa team kiba
na kuna kebekebe haaah kingkiba bhnHaha #Nana sio neno kile ni kibwagizo" #i cnt wait for Rupela nahic kutakua na mauno huko hatari na jina lenyewe lilivyokaa
Wewe nae tutolee nzi hapa.Punguzeni urasimu kampigieni kura diamond mlete tuzo Tanzania.
Anawania tuzo ingine Nigeria, tuache urasimu taifa kwanza
Shiriki kuitangaza nchi yakoWewe nae tutolee nzi hapa.
Kumbe ni wewe rafiki yangu?Ngoja nikae kimya tu.....Shiriki kuitangaza nchi yako
Ha ha ha Haa! Nakuambia ukweli baby wangu ile video bomba sana coz character wote wamevaa uhusika wao.Kama siamini amini hivi?
I miss you (nadhani na wenzangu pia maana wamekuwa wakiniuliza sana eg atoto Diva Beyonce na Ms.Lincoln)
Namiss uchambuzi wako,hasa kwenye kibao na hadi video ya nagharamia.
Lupela....nasikia tu na nina hamu ya kuusikia,natumai King hatotuangusha.