Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ujio mpya wa King just wait vry soon" K anatizama upepo maana mtu mbaya nae anaachia ngoma nyingne muda wowote tu.Lupela ni nini jamani msaada
Anayetazama upepo na kuweweseka ni Diamond, kumbuka baada ya Kiba kurelease Nagharamia nae akaachia Utanipenda,sasa kasikia Kiba anataka kuachia Lupela kaanza kuweweseka.Ni ujio mpya wa King just wait vry soon" K anatizama upepo maana mtu mbaya nae anaachia ngoma nyingne muda wowote tu.
man of steel himself, jeshi la mtu mmojaAnayetazama upepo na kuweweseka ni Diamond, kumbuka baada ya Kiba kurelease Nagharamia nae akaachia Utanipenda,sasa kasikia Kiba anataka kuachia Lupela kaanza kuweweseka.
Sisi wala hatuna pressure, tunawaangalia tu mnavyobabaika.
Acha viroba dogo vina madharaMimi namshauri Kiba ajisajiri lebo ya Wasafi ili achomoze zaidi nje. Yaliyopita si ndwele, pamoja kuwa alikuwa rafiki yake wa jana, wachape kazi tu.
Kuna mambo huko.Sio lazima sister uwe busy town unaweza kuwa model hata instagram
Kuna mambo huko.
Ushawahi muona Malkia wa Insta wewe?