Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Wapi nilipokuuliza au kukataa?Kwani Kiba siyo Balozi wa Wanyama?
Najua unataka ligi na huo muda sina.
Naenjoy Lupela....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi nilipokuuliza au kukataa?Kwani Kiba siyo Balozi wa Wanyama?
Za asubuhi Nifer.... Nakuona hapo mnabadilishana mawili matatu, me napita tu, Kama Vipi badae, msalimie huyo jamaa.Mimi nawe tunaheshimiana,ila unanichokoza na nimetumia busara tu kukukwepa.
Enjoy......
Mimi nawe tunaheshimiana,ila unanichokoza na nimetumia busara tu kukukwepa.
Enjoy......
Kakuangusha wewe na nani?... Hebu laleni mbele huko.Balozi katuangusha![]()
Et wanasema kacopy kwa hussein machozi we unanaje?Kakuangusha wewe na nani?... Hebu laleni mbele huko.
Kiba anatusikiliza mashabiki wake tu.
wewe wasema, mbona mondi alikopi kwa pasha hatukuwaonaEt wanasema kacopy kwa hussein machozi we unanaje?
Wewe unasema Pasha tu mkuu wakati jamaa anamcopy Q-Chillah daily?wewe wasema, mbona mondi alikopi kwa pasha hatukuwaona
Sina muda wa kupoteza kwenye fuc**ng arguments, naenjoy Lupela.Et wanasema kacopy kwa hussein machozi we unanaje?
ndo maana me nowadays sibishani nao coz najua ni unafiki tu umewajaa sio ushabiki, ila huyu jamaa fundi sana sio kwa electro hii dah! "mng'aro wa nuru yako kama mbalamwezi"Wewe unasema Pasha tu mkuu wakati jamaa anamcopy Q-Chillah daily?
Sema nini?Tuachane nao....Kiba keshatupa raha kwenye Lupela.
Tuendelee kuburudika.
Umeona eeh?ndo maana me nowadays sibishani nao coz najua ni unafiki tu umewajaa sio ushabiki, ila huyu jamaa fundi sana sio kwa electro hii dah! "mng'aro wa nuru yako kama mbalamwezi"
Ngoma sio mbaya ila sio amazing at all" u cnt say wow on ths 1..enjoy by the way maana hakuna nyingne hahaSina muda wa kupoteza kwenye fuc**ng arguments, naenjoy Lupela.
Whatever, hayo ni maoni yako....Ngoma sio mbaya ila sio amazing at all" u cnt say wow on ths 1..enjoy by the way maana hakuna nyingne haha
Kakake juzi nimefanyiwa surprise ya hii ngoma nilihisi kudata!hahaha dadaake Nifah kiba atatutoa roho kwakweli kila nyimbo kali aisee, halafu kuna wapendanao sijawaona kitambo humu, "umeumbwa mama"