Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Audio tayari video nasikia ni keshoJamani lupela tayar au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Audio tayari video nasikia ni keshoJamani lupela tayar au
me nishaiona mama...Video ya Lupela imetoka lini?
Khaaaaaa,this is too much guys!
Fanyeni mpango tuione wote. Maana huyu jamaa namuelewa saname nishaiona mama...
wewe endelea kusubiria ya youtube..!
Ndio naisubiria YouTube maana ndio raha kuiona wengi,ningetaka kuiona kabla mbona zamani tu?me nishaiona mama...
wewe endelea kusubiria ya youtube..!
Tuisubiri hiyo kesho mkuu.Fanyeni mpango tuione wote. Maana huyu jamaa namuelewa sana
Tuisubiri hiyo kesho mkuu.Fanyeni mpango tuione wote. Maana huyu jamaa namuelewa sana
Sawa mkuu msaidiziTuisubiri hiyo kesho mkuu.
sema umeshindwa kuipata..!!!Ndio naisubiria YouTube maana ndio raha kuiona wengi,ningetaka kuiona kabla mbona zamani tu?
Wewe si upo team Mondi.... kwa Kiba umehamia lini?Hahahahaaa kama wewe umeweza kuipata unadhani mimi kitanishinda nini?
Huyo Kiba mbona nafahamiana nae?Acha hizo wewe.
George Betram
Nitake radhi haraka sana kabla Ali Kiba hajaona hili swali lako la kipopoma.Wewe si upo team Mondi.... kwa Kiba umehamia lini?
Kumbe Ali Kiba anatumia shoto?Kuna siku niliona sikutilia maanani nikidhani nimekosea.Ogopa sana wanaotumia shoto
Hawa ni baafhi ya Lefties
Alikiba
Aristotle
Angelina Jolie
Albert Einstein
BARACK OBAMA
Bill Gates
Brad Pitt
Celine Dion
Eminem
Justin Bieber
Lady Gaga
LeBron James
Leonel Messi
Mahtma Ghandi
Marie Curie
Manny Pacquiao
Oprah
Rafael Nadal
Sylvester Stallone
Mkuu tupia pia orodha ya wanaotumia kulia ili kubalance.Ogopa sana wanaotumia shoto
Hawa ni baafhi ya Lefties
Alikiba
Aristotle
Angelina Jolie
Albert Einstein
BARACK OBAMA
Bill Gates
Brad Pitt
Celine Dion
Eminem
Justin Bieber
Lady Gaga
LeBron James
Leonel Messi
Mahtma Ghandi
Marie Curie
Manny Pacquiao
Oprah
Rafael Nadal
Sylvester Stallone
nadhani hawezi kufanya hivyo..!Mkuu tupia pia orodha ya wanaotumia kulia ili kubalance.
Yes dear,nilikuwa busy naangalia video.