Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Zilipendwa ndio habari ya mujini
IMG_20170826_131359_524.JPG
na badoo
IMG_20170826_131340_618.JPG
mwenye nyimbo Sasa
 
sio bongo ya sisi,na sio style ya muziki wa sasa wa bongo fleva hakuna nyio inayolast longer zote baada ya miezi miwili tu tunaziita [HASHTAG]#zilipendwa[/HASHTAG]
Nyimbo za Ally mbona mpk leo ni nzuri na zinapendeza kusikiza? mfano kuna wimbo ya dimond nimeusahau kidgo ni mzuri mpk leo na hautaisha uzuri leo wala kesho ni wimbo bora ever. Huo wimbo hata christian bella aliurudia. So zipo nzuri tuu za kudumu sasa hapo ni ww na masikio yako
 
Kiba hua anakera sana anavyokaa kimya ila sasa akidondosha kitu mnasahau upumbavu wake wa mwaka mzima,Man Walter anajua sana kutengeneza midundo aiseeeee ukisiliza seduce me na utaniau ya Jux utanielewa kuna upekee wa hali ya juu kwenye mikono yake napenda muziki usiokua na vurumai hii seduce me inaenda kumuweka Kiba dawati la mbele zaidi kwenye kipindi cha hesabu anaonyesha anajiamini na anajua anachokifanya.
Zilipendwa naona kama KAMBI RASMI YA UPINZANI wamepanick ivi badala ya kuja na fire extingusher kwenye moto wamebeba madumu ya petrol.
Nilikuwa nimemaind hatoi ngoma Ila kwa ngoma hii AME ni seduce aiseee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matonya kaona atokee via wcb [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mbona ule wimbo wa Salome ndio copy ndio maana alimfata Saida. Sasa Zilipendwa kacopy jina au beat?
 
Nyimbo za Ally mbona mpk leo ni nzuri na zinapendeza kusikiza? mfano kuna wimbo ya dimond nimeusahau kidgo ni mzuri mpk leo na hautaisha uzuri leo wala kesho ni wimbo bora ever. Huo wimbo hata christian bella aliurudia. So zipo nzuri tuu za kudumu sasa hapo ni ww na masikio yako
Tatizo uteam umewajaa wanajifanya vipofu,,laki ukweli lazima wanaujua alaa
 
Wakae watulie sio kutoa kila siku ,,bit zile zile ,idea zile zile ,,watu saba wanashindana na mtu mmoja khaa na kawatoa nock out
Watu saba wametumia dk 5 kuuzima wimbo wa dk 3 wa mtu mmoja but ndo kwanza unazid kukimbiza
 
Back
Top Bottom