😂Unamwibia kusaga mwinjaku?
Asilazimishe tufanane, hiyo ndo business idea yakeKwani unamsaidia kulipa kodi ya kurusha matangazo Mkuu?
Muache na drama zake na redio yake. Uwekezaji ni wake anajua anachokifanya.
Punguza ushauri watu wana mipango yao mezani.Ushaur maana wakikasilika wababe siku ataamka hana kipind watu wamesepa
Kwani nimekunyamazisha Mkuu?Ww si ulisemaga ya kusaga nan alikunyamazisha na uongo wako
Radio ya Kiba na kikeke imekuja na style ya drama kujitangaza. Nawashauri wawekeze kwenye content ndio kila kitu kwenye media.
Leo hii clouds na wasafi zina wasikilizaji wengi sababu zina content. Hao watangazaji wa kuiba kwa wengine ili mtengeneze story mjikane walimdodea majizzo kina b 12 jonijo masanja nk walitengeneza mbwembwe ila wapi waliishia
Tafuta content hao rejects hawatasaidia lolote kama huna content. Unamwibia kusaga mwinjaku? Akikasirika alipe kisasi utabaki na radio
Ni chuki na wivu tuRadio ya Kiba na kikeke imekuja na style ya drama kujitangaza. Nawashauri wawekeze kwenye content ndio kila kitu kwenye media.
Leo hii clouds na wasafi zina wasikilizaji wengi sababu zina content. Hao watangazaji wa kuiba kwa wengine ili mtengeneze story mjikane walimdodea majizzo kina b 12 jonijo masanja nk walitengeneza mbwembwe ila wapi waliishia
Tafuta content hao rejects hawatasaidia lolote kama huna content. Unamwibia kusaga mwinjaku? Akikasirika alipe kisasi utabaki na radio kweli?
Samahani.Ndio
Radio ya Kiba na kikeke imekuja na style ya drama kujitangaza. Nawashauri wawekeze kwenye content ndio kila kitu kwenye media.
Leo hii clouds na wasafi zina wasikilizaji wengi sababu zina content. Hao watangazaji wa kuiba kwa wengine ili mtengeneze story mjikane walimdodea majizzo kina b 12 jonijo masanja nk walitengeneza mbwembwe ila wapi waliishia
Tafuta content hao rejects hawatasaidia lolote kama huna content. Unamwibia kusaga mwinjaku? Akikasirika alipe kisasi utabaki na radio kweli?