Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Kwa hiyo wewe umeumia? Huyo jamaa kwenda kwa kibaKuliko alomchykua mwinjaku?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wewe umeumia? Huyo jamaa kwenda kwa kibaKuliko alomchykua mwinjaku?
Wewe endelea kuumia wenzako wanaingiza mkwanjaHaujitambui bro hakiyamungu nakuwambia
Hili ndiyo jibu muruwa kwa mpumbavu mtu amehustle peke yake wewe uje kumpangiaKwani unamsaidia kulipa kodi ya kurusha matangazo Mkuu?
Muache na drama zake na redio yake. Uwekezaji ni wake anajua anachokifanya.
Acha kumchafua majizo na viredio vyenu hivyo, kwanza hizo radio wasafi,na crown ni vya kusaga kama hujui weweRadio ya Kiba na kikeke imekuja na style ya drama kujitangaza.
Nawashauri wawekeze kwenye content ndio kila kitu kwenye media. Leo hii clouds na wasafi zina wasikilizaji wengi sababu zina content. Hao watangazaji wa kuiba kwa wengine ili mtengeneze story mjikane walimdodea Majizzo kina B 12, Jonijo, Masanja nk walitengeneza mbwembwe ila wapi waliishia.
Tafuta content hao rejects hawatasaidia lolote kama huna content. Unamwibia Kusaga Mwinjaku? Akikasirika alipe kisasi utabaki na radio kweli?
Elimu , elimu , elimu!Radio ya Kiba na kikeke imekuja na style ya drama kujitangaza.
Nawashauri wawekeze kwenye content ndio kila kitu kwenye media. Leo hii clouds na wasafi zina wasikilizaji wengi sababu zina content. Hao watangazaji wa kuiba kwa wengine ili mtengeneze story mjikane walimdodea Majizzo kina B 12, Jonijo, Masanja nk walitengeneza mbwembwe ila wapi waliishia.
Tafuta content hao rejects hawatasaidia lolote kama huna content. Unamwibia Kusaga Mwinjaku? Akikasirika alipe kisasi utabaki na radio kweli?
Eti jamani🤣🤣🤣Hivi unakuwaje na makasiriko na mali ya mtu?
Mimi ninawashangaa😊Eti jamani🤣🤣🤣
wakili na wewe unashangaa?Mimi ninawashangaa😊
Ahaaa🤣Nimesikitika sio kununa.
Naona Mbaga Jr upo LOCK UP