Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie nilishagaamua kupotezea tu. Kuna hiyo ban nikiwahi kupigwa Hadi kwenye maisha halisi mambo yakawa hayaendi 😂😂😂Humu JF ukimwambia mtu ukweli wake tuu anakushtaki 😂
Sasa jana ile ile usiku lisaa limoja baada ya ban kuisha nikamfata yule mpuuzi nikampa ukweli wake then akanishitak tena nikapigwa ban ya wiki ila nikaenda Twitter nikawaambia JF sio fair wanachonifanyia then asubuhi hii naona ban wameitoa 😂Mie nilishagaamua kupotezea tu. Kuna hiyo ban nikiwahi kupigwa Hadi kwenye maisha halisi mambo yakawa hayaendi 😂😂😂
Au ni mods haohao wanaleta nongwa Ili uwawashie tanuri wakupige banSasa jana ile ile usiku lisaa limoja baada ya ban kuisha nikamfata yule mpuuzi nikampa ukweli wake then akanishitak tena nikapigwa ban ya wiki ila nikaenda Twitter nikawaambia JF sio fair wanachonifanyia then asubuhi hii naona ban wameitoa 😂
View attachment 3010017