data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Utter nonsense ,ningekuwa nimemfollow kiba mara moja ningemu_unfollow,in a maana wanaom follow ni wapumbavu?
poleni team yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utter nonsense ,ningekuwa nimemfollow kiba mara moja ningemu_unfollow,in a maana wanaom follow ni wapumbavu?
Huyu dogo mi nimeshaishiwa la kumshauri. Nimesema yoteee.
Ni wa kuacha tu, maana HAMNA NAMNA. Tumechoka.
Mmechoka?
Wewe na nani?😕😀
pumba tupu bichwa, mbona kwenye twitter kachagua wa kuwafollow?? kiazi akisoma hapo anaona sawa tu....
Hata hivyo msanii anaeongoza kuinterfere na fans wake diamond kawafollow wanaomsupport anareply na kilike pic zao na ndio maana likitokea tukio la chibu lazima wengi wamsupport kama ni usawa kusema wengine watakupa lawama mbona wakina davido anefollow watu zaidi ya elfu mbili na still haimzuii kuzisoma comments ni vitu viwili tofauti....
Ningependa kama angefollow watu wengine.
Publicity is money...
diamond kafollow wasanii wengi sana wa tanzania management yke yote kafollow, wasanii wa east africa na africa kiujumla ma presenter . Anapata updates za nini kinaendelea wenzake wanafanya nn hiyo ndio akili kubwa.
Una akili wewe. Katka team yenu yoote
TeamAvatar ykoTeam ipi?
tatizo bichwa ana principle za kizamani sana na kibaya fans wake nao viazii tu wanashindwa kumshauri anapoenda wrong ndio màana shows hakuna akipata koridoni au fiesta shows za laki nane wanaishia kusema chibu mashauzi / mchawi hahahahahahahaha
kuna asiyejuwa umuhimu wa kujichanganya na wenzake hasa friends of benefit??? Anaishia kuponda kwenye media kwanini watu hawampost 4real men shiiiiiiiiiiiiit
Kwani ku-follow mtu/watu ni lazima? Kila mtu ana maamuzi yake Katika utumiaji wa account yake
Kule mimi ndo kilaza.
You can imagine.
Majibu ya kisomi kabisa utadhani profesa wa Oxford au Cambridge University ndo kajibu, lakini angekuwa yule jirani yetu ungesikia sijui ambaye sijamfolow akale ndimu yan full majibu ya kiswahili.
Asante mfalme Kiba.
#Rockstar4000
Huyu dogo mi nimeshaishiwa la kumshauri. Nimesema yoteee.
Ni wa kuacha tu, maana HAMNA NAMNA. Tumechoka.