Ali Kiba kataja sababu za kwanini hamfollow mtu Instagram

Mkuu Ali kiba ni KING, toka lini king akahangaika ku-kufuata(ku-mfollow mtu) yeye kazi yake ni kutoa amri na ma-pimbi ku-mfuata.. Ali Kiba ni mkubwa zaidi ya kila kitu, ni mkubwa zaidi ya tuzo zote.. Ali kiba ni king..hawezi kuhangaika kuwa- follow ma-pimbi/misukule wake..
 
Uamuzi wake... ! Unaweza kum-follow hivyo hivyo au ukamkaushia sawa na yeye alivyokaushia watu wote. Binafsi nina formula moja: Mtu ambae haja-Follow yeyote huwa sim-Follow na mtu ambae account yake ni Private, vile vile siwezi kum-Follow kwa jeuri tu kwamba ana nini cha maana hadi atake watu watume maombi!!! In addition, ukiwa na User ID ya hovyo hovyo... naku-block; yaani ni full unoko kama mwalimu wa enzi za Nyerere!
 
Mkuu hili balaa unalolitafuta humu shauri yako mwenyewe.
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] una followers 100 uko private,are you serious?
jingine linajiita cute mimi they say bonge la mjina!!
jiite mwanahawa ally
hata ndugu zako tukikutafuta tukupate!!
watu wa instagram wa ajabu ajabu siwafollow
mwingine nalazimisha umfollow[emoji23]
 
Kuwa mpole. ..wewe unaye follow back una hao 1.6M

Usikariri ...kuto follow hiyo nayo ni mbinu ya mchezo ...anataka ujiulize maswali kama ulivyojiuliza.
 
Mbona kawaida sana hapo unakuta hajafollow mtu lakini ana fekelo lake ambalo anatumia kimya kimya maana IG unaweza kuwa na page hata tano katika device moja!
 


Hao ni baadhi ya wengine ambao hajamfollow yeyote. So ni maamuzi ya mtu binafsi aamue kumfollow nani
 
Asipo mfollow mtu wewe anakupunguzia kwenda chooni..fanya kazi wewe
 
Achana nae huyo boya mashauzi
 
View attachment 444111View attachment 444112View attachment 444113

Hao ni baadhi ya wengine ambao hajamfollow yeyote. So ni maamuzi ya mtu binafsi aamue kumfollow nani
Umemaliza Mkuu, King Kiba hamfollow hata Mdogo wake, Abdu Kiba wala Demu wake Jokate sasa wewe akufollow kama nani ????

- Au unafikiri Uking NI KITU KIDOGO, NDO MAANA UMESHAWAHI KUMUONA HATA ANAWAWISH HAPPY BIRTHDAY WASANII WENZAKE - ATAJUAJE WAKATI HATA HAWAFOLLOW ???

- Yeye ndo anatakiwa apewe support, na yeye akijisikia anakupport then ananaandika [HASHTAG]#SuppportedbyKingKiba[/HASHTAG]
 
Mkuu sasa happy birthday kwani lazima umu wish mtu insta Kama Ana # zao za what's up si unamtumia tu sio kweli kwamba Hana namba za ma star wenzake ni maamuzi tu sio kweli kwamba kiba Hana # za tundaman maana hata birthday yake hakumpost insta wala wastara ambae ni rafiki yake wa karibu [HASHTAG]#nyinyi[/HASHTAG] ndo mnasababisha picha za marehemu zizagae ovyo insta kitu ambacho sio sahihi Kama dogo janja
 
Mimi si mshushi thamani huyo nani sijui,ila nawashusha thamani hao wanaom follow mtu asiyewa follow hata ndugu zake.
 
I like this
 
THATS KING KIBA kama unahisi hakufurahish chapa lapa sisi tupo nae kila hatua wapo wanaotaman kutofollow nao waone bt wanaona aibu kuhisi watakuwa wamemuiba KING KIBA...hajamfolow mtu na bado ana followerz wa kutosha MAPOVU YA NINI WAZEE
 
Naona hapa umejaza comments za kinafki kias zinapingana na wanaokoment kwenye UZI...KIBA ATAWATOA ROHO *****
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…