Carbondioxide JF-Expert Member Joined Nov 17, 2014 Posts 733 Reaction score 195 Dec 31, 2015 Thread starter #41 Mbavu mbili said: Unaongozwa na hisia tatizo. Nakushauri achana uzungu tumia lugha fasaha ya Kiswahili udhihirishe Utanzania wako na kujivunia Uafrika wako. AMKENI_2016 Click to expand... Anza kwanza na Ali K kujiita THE RETURN OF THE KING badala ya kujiita KURUDI KWA MFALME AWAMU NYINGINE.
Mbavu mbili said: Unaongozwa na hisia tatizo. Nakushauri achana uzungu tumia lugha fasaha ya Kiswahili udhihirishe Utanzania wako na kujivunia Uafrika wako. AMKENI_2016 Click to expand... Anza kwanza na Ali K kujiita THE RETURN OF THE KING badala ya kujiita KURUDI KWA MFALME AWAMU NYINGINE.
Carbondioxide JF-Expert Member Joined Nov 17, 2014 Posts 733 Reaction score 195 Dec 31, 2015 Thread starter #42 Shijer11 said: kukariri kubaya Click to expand... Kama nimekariri song lipi kati ya #Je Utanipenda? na #Nagharamia yenu ipi inasumbua kwa sasa nje na ndani ya nchi.Je ni hii nimekariri?
Shijer11 said: kukariri kubaya Click to expand... Kama nimekariri song lipi kati ya #Je Utanipenda? na #Nagharamia yenu ipi inasumbua kwa sasa nje na ndani ya nchi.Je ni hii nimekariri?
kilimbamula JF-Expert Member Joined Jun 3, 2015 Posts 1,792 Reaction score 853 Dec 31, 2015 #43 Quality ya video na uandishi wa mashairi ya Kiba katika nagharamia ni wa kiwango cha Ali Nipishe. Shame full up on him.
Quality ya video na uandishi wa mashairi ya Kiba katika nagharamia ni wa kiwango cha Ali Nipishe. Shame full up on him.
Mangungo II JF-Expert Member Joined Jul 6, 2012 Posts 18,133 Reaction score 26,766 Dec 31, 2015 #44 Teztokqmnn said: Nagharamia ni nyimbo yenye makelele yasiyo na msingi NOISE POLLUTION Click to expand... Hahahahqhq toka hapa
Teztokqmnn said: Nagharamia ni nyimbo yenye makelele yasiyo na msingi NOISE POLLUTION Click to expand... Hahahahqhq toka hapa
Hansss JF-Expert Member Joined Jul 17, 2015 Posts 2,370 Reaction score 2,723 Dec 31, 2015 #45 Najua ukweli upo mioyoni mwenu NAGHARAMIA ni habari nyingine jameenii