Ali Kiba kortini matunzo ya mtoto

Ali Kiba kortini matunzo ya mtoto

..ambapo dada huyo anadai kulipwa milioni 1.41 ikiwemo matunzo(460,000) na ada kwa mtoto(950,000).

Wadada wengi waliozalishwa nje ya ndoa sijui kwanini wanakimbizia watoto kwenye shule za bei iliyochangamka?
 
Acheni kuchukulia kirahisi rahisi. Kiba anatakiwa athibitishe kama anatoa matunzo kwa mwanae au amuombe waongee nje mahakama. Hawezi kumchukua mtoto kutoka kwa mamaake kirahisi kama mnavyofikiria.
huyo Dada si kaambiwa ampeleke mtoto akapimwe DNA kinachomfnya aruke ruke kama popcorn ninin ?? apambane na hali yake aisee..
 
How about four others. Nimeandika kimsisitizo. Wababa mnatufanyia vitu vibaya. Tuzae then mkaoe wengine fresh.
akapime vinasaba kwanza ...hakuna Janja Janja hapa..."" pesa ngumu ati "" mambo ya kusingiziana Watoto kisa kaona kitonga yafe
 
Sasa matunzo ya mtoto kwa miaka 5 ni shilingi laki nne? Hiyo hela nampa Mama Gaude kwa matuzi ya wiki tu. Hawa watoto wa ma-super star wa Bongo wana maisha magumu sana.
haha hahaa
 
Hao mahakimu wawe serous kwenye maamuzi. Uzalishe wasichana wa nyumbani kuoa nje. Ni uzalilishaji mkubwa.
kumbe "'!! hahaaa...sasa kwani walilazimishwa kuzaa" NYOTA YA KIJANI HAWAIJUI AU ..?
 
Sisi wanawake wakati mwingine hatujitambui hatujitambui kabisa. Ngoja niishie hapa kwa leo.
afadhali umenena ...usikute wakati anachanuliwa miguu alikuwa anafurahi kabisa...kuwa ana chanuliwa na super star...mambo yamemuendea Kombo anapagawa sasa...""
 
Mlandula akili zako zinawaza odds nn. Hiyo ni odds ya kiba kumlea mwanae. Sifa ya odds 1.41 haitoagi kabisa. So hapo mwanamke ajue hapati hata sh 10 ya matunzo
hahaa aiseeee
 
Zabibu Kiba wenyewe mbayaaa, pua kama bata. Aombe DNA kwani kakaake alivyokatika yeye alishika upaja?
kwani huyo demu alikuwa ana liwa na alikiba pekee...kitendo cha wana familia kuomba DNA kinaonyesha kuwa wanamashak na mtoto kutokana na mienendo aliyokuwa nayo mama YAKE....mambo ya kusakiziana Watoto kwaajili ya kupata nafuu ya maisha ..mwisho ileje aisee..
 
huyo Dada si kaambiwa ampeleke mtoto akapimwe DNA kinachomfnya aruke ruke kama popcorn ninin ?? apambane na hali yake aisee..


Mkuu unajua processes za kupima DNA Tanzania? Anyway, kama Kiba ana doubt huyo sio mwanae, yeye ndio mwenye jukumu la kupima DNA, sio mama wa mtoto .
 
huyo Dada si kaambiwa ampeleke mtoto akapimwe DNA kinachomfnya aruke ruke kama popcorn ninin ?? apambane na hali yake aisee..
Ameambiwa na nani na ni lini? acha story za vijiweni....kama ameambiwa tutajua maana mahakama itatoa amri tena kama Kiba atakana mtoto siyo wake...Huyo Zabibu anaongelea DNA kama kuvaa dela vile halafu anaye paswa kusema hayo ni Kiba na aseme ni lini yalitolewa maamuzi hayo na atasema mbele ya mahakama....
 
kwani huyo demu alikuwa ana liwa na alikiba pekee...kitendo cha wana familia kuomba DNA kinaonyesha kuwa wanamashak na mtoto kutokana na mienendo aliyokuwa nayo mama YAKE....mambo ya kusakiziana Watoto kwaajili ya kupata nafuu ya maisha ..mwisho ileje aisee..


Huwezi kuwa na mashaka na demu kisha ukapiga bila kinga. That's a big lie. DNA haidawi Instagram , jukumu ni la baba kwenda kucheki
 
kwani huyo demu alikuwa ana liwa na alikiba pekee...kitendo cha wana familia kuomba DNA kinaonyesha kuwa wanamashak na mtoto kutokana na mienendo aliyokuwa nayo mama YAKE....mambo ya kusakiziana Watoto kwaajili ya kupata nafuu ya maisha ..mwisho ileje aisee..
Waende wakadai sasa mahakamani kwenye case ...DNA haidaiwi kama unadai hela za vikoba kuna taratibu wasubiri Alikiba akadai sio wao....wao hawana haki ya kudai DNA na hakimu atatoa maamuzi kama ikapimwe au lah ...itategemea na Alikiba atavyo jenga hoja wala si familia yake....Huyo dada alitembea na Alikiba hakutembea na Familia ya Alikiba kwa hiyo wanadai wasivyo na haki navyo...
 
Sasa matunzo ya mtoto kwa miaka 5 ni shilingi laki nne? Hiyo hela nampa Mama Gaude kwa matuzi ya wiki tu. Hawa watoto wa ma-super star wa Bongo wana maisha magumu sana.
We nae acha misifa mkuu
 
Back
Top Bottom