unalijuwa soko la vigazeti hivi ni wa watu wa aina gani? wapika pilipili, wakaanga maandazi na mabeki 3 bila kusahau wacheza vigodoro.
Hapa hatuongelei kujitangaza tunaonhelea mauongo yake na hizo team za kishenzishenzi!sawa kampga gape bas aende huyo mr.misifa kwani kiba kpnd hiko anavima umeshawahi kumsikia na mauongo uongo ya ajabu si hatumpondi mondi hy s tunampongeza kwa alipofikia ila uongo unamshusha hadhi msitetee upuuzi hapa!
unalijuwa soko la vigazeti hivi ni wa watu wa aina gani? wapika pilipili, wakaanga maandazi na mabeki 3 bila kusahau wacheza vigodoro.
ila aly msiri sana wa
mambo yake mi ndo man nampenda sana kila la kheri kaka cha msingi sa hv ufanye kweli!
Anafanya mziki kimyakimya? Basi atakua mwanamuziki wa ajabu sana!..na nyinyi ndio mnaomtia ujinga mpaka anapotea na kipaji chake wakati diamond anatoka kwa ujuaji na mbwembwe zake. Ukweli diamond kamwwcha mbali sana kiba japo kiba ana kipaji kumzidi diamond. Acheni kumpumbaza mwambieni atumie hizo nafasi kujitangaza.
Washangae hao
kujitangaza kwa makashfa na mauongo...?mbona ay anafanya mziki na anajulikana ba .makashfa na mauongo uongo mbona kiba kpnd anavuma hakuvuma na maujinga ujinga km diamond na mikashfa na km ustaa kuwa womanizers na kua muongo muongo am soryyyyyyy......!!!!
kujitangaza kwa makashfa na mauongo...?mbona ay anafanya mziki na anajulikana ba .makashfa na mauongo uongo mbona kiba kpnd anavuma hakuvuma na maujinga ujinga km diamond na mikashfa na km ustaa kuwa womanizers na kua muongo muongo am soryyyyyyy......!!!!
Michael Jackson mpaka anakufa alikuwa bado anakula pesa za thriller.
Ali Kiba's 30 Greatest Hits
1. Kuteseka ft Dully Sykes
2. Sikuoni ft Abby Skill & Zahran
3. Njiwa
4. Cinderela
5. Nakshi Nakshi ft Hakeem 5
6. Sabrina
7. Nichum
8. Mac Muga
9. Wanitesa
10. Namzimia
11. Ni kaka yako
12. Si mzima ft Abby Skills
13. Hufai ft Dully Sykes
14. Msiniseme
15. Single Boy
16. Dushelele
17. Mapenzi yanarun dunia
18. My Everything
19. Far away ft Chidy Benz
20. Raggatone
21. Mali yangu
22. Hadithi ft Mr Mimi
23. Ni yule ft Queen Darleen & Chiddy Benz
24. Mambo yetu yale
25. Miss painapple
26. Yatima
27. Rosa
28. Kimasomaso
29. Ya Karim
30. Msela
kujitangaza kwa makashfa na mauongo...?mbona ay anafanya mziki na anajulikana ba .makashfa na mauongo uongo mbona kiba kpnd anavuma hakuvuma na maujinga ujinga km diamond na mikashfa na km ustaa kuwa womanizers na kua muongo muongo am soryyyyyyy......!!!!
Thank you sana kwa hii list mkuu umeiweka vizuri sana aisee....Big up kiba
Ali Kiba's 30 Greatest Hits
1. Kuteseka ft Dully Sykes
2. Sikuoni ft Abby Skill & Zahran
3. Njiwa
4. Cinderela
5. Nakshi Nakshi ft Hakeem 5
6. Sabrina
7. Nichum
8. Mac Muga
9. Wanitesa
10. Namzimia
11. Ni kaka yako
12. Si mzima ft Abby Skills
13. Hufai ft Dully Sykes
14. Msiniseme
15. Single Boy
16. Dushelele
17. Mapenzi yanarun dunia
18. My Everything
19. Far away ft Chidy Benz
20. Raggatone
21. Mali yangu
22. Hadithi ft Mr Mimi
23. Ni yule ft Queen Darleen & Chiddy Benz
24. Mambo yetu yale
25. Miss painapple
26. Yatima
27. Rosa
28. Kimasomaso
29. Ya Karim
30. Msela