Ali Kiba - 'Mimi ni mkubwa kuliko tuzo', Kura yangu kwa Wizkid

Ali Kiba - 'Mimi ni mkubwa kuliko tuzo', Kura yangu kwa Wizkid

Habari,

Ali Kiba - Mimi ni mkubwa zaidi ya tuzo na muziki wangu una thamani zaidi ya tuzo

Ali Kiba aliwahi kuonesha dharau kubwa kwa mashabiki wao kuwa yeye ahitaji Tuzo yoyote ya muziki kwasababu yeye ni mkubwa kuliko tuzo na muziki wake ni mkubwa kuliko hivyo vituzo na ndio maana hata siku moja hajawahi kuhudhuria sherehe za utoaji tuzo. Hili ni tusi kubwa kwa Shardcole Nifah na wengine.

Ali Kiba anasahau kuwa heshima huja unapopata awards mbalimbali. Liverpool na Arsenal bila kuchukua vikombe si chochote mbele ya mashabiki na mpira kwa ujumla.

Nina maana kuwa hata kama Ali Kiba yuko peke yake Tanzania na Afrika Mashariki kamwe siwezi kumpa kura yangu NG'OOO. Hana shukrani kabisa.

Kura zangu zitaenda kwa Wizkid, Yes Wizkid.
View attachment 409105
View attachment 409108
Huu Uzi ushuzi kabisa
 
Ali Kiba putting him self with wiz kid?mbona ni mbingu na ardhi!
 
Habari,

Ali Kiba - Mimi ni mkubwa zaidi ya tuzo na muziki wangu una thamani zaidi ya tuzo

Ali Kiba aliwahi kuonesha dharau kubwa kwa mashabiki wao kuwa yeye ahitaji Tuzo yoyote ya muziki kwasababu yeye ni mkubwa kuliko tuzo na muziki wake ni mkubwa kuliko hivyo vituzo na ndio maana hata siku moja hajawahi kuhudhuria sherehe za utoaji tuzo. Hili ni tusi kubwa kwa Shardcole Nifah na wengine.

Ali Kiba anasahau kuwa heshima huja unapopata awards mbalimbali. Liverpool na Arsenal bila kuchukua vikombe si chochote mbele ya mashabiki na mpira kwa ujumla.

Nina maana kuwa hata kama Ali Kiba yuko peke yake Tanzania na Afrika Mashariki kamwe siwezi kumpa kura yangu NG'OOO. Hana shukrani kabisa.

Kura zangu zitaenda kwa Wizkid, Yes Wizkid.
View attachment 409105
View attachment 409108
Bila shaka mtoa mada ni wakike, Maana mwanaume hafanyi mambo haya na hawezi ongea kwa hadhira.

Unamdhiria MTU, km hupigi kura kaa kimyaaa sio kutangaza kwa watu kuwa humpigii kura na unampigia mwngine na kumjengea chuki kwa watu....
Mi ni shabiki wa diamond ila mtoa mada kanikera....
Ushawahi mpigia msanii kura ukapata faida yeyote toka kwake??!

Fanya uvunge na si kutandaza chuki kwa msanii kwa wananchi.... Haitakusaidia
 
Bila shaka mtoa mada ni wakike, Maana mwanaume hafanyi mambo haya na hawezi ongea kwa hadhira.

Unamdhiria MTU, km hupigi kura kaa kimyaaa sio kutangaza kwa watu kuwa humpigii kura na unampigia mwngine na kumjengea chuki kwa watu....
Mi ni shabiki wa diamond ila mtoa mada kanikera....
Ushawahi mpigia msanii kura ukapata faida yeyote toka kwake??!

Fanya uvunge na si kutandaza chuki kwa msanii kwa wananchi.... Haitakusaidia
diamond ana shabiki kilaza kama ww
 
Back
Top Bottom