Ali Kiba - mtu asiyejikweza lakini ana utajiri wa kutosha kuliko msanii yeyote Tanzania

Ali Kiba - mtu asiyejikweza lakini ana utajiri wa kutosha kuliko msanii yeyote Tanzania

eden kimario

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
10,356
Reaction score
16,379
Ali Kiba

Ali Saleh Gentamilan (anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Ali Kiba; pia: King Kiba; alizaliwa 1986) ni mwanamuziki wa Tanzania, mwimbaji na mtunzi wa nyimbo chini ya lebo ya Rockstar4000.

Ali Kiba

Jina la kuzaliwa
Ali Saleh Gentamilan
Amezaliwa
Novemba 29 1986 (umri 32)

Asili yake

Tanzania

Aina ya muziki

Mwanamuziki

Kazi yake

Mwimbaji Mwanasoka

Aina ya sauti

Sauti, Piano

Miaka ya kazi
2006 -
Studio
Rockstars4000
Kings Music

Ame/Wameshirikiana na
R. Kelly
Abdu Kiba
Christian Bella
Ommy Dimpoz
M.I
Patoranking
Abby Skills
Mr. Blue

Tovuti
www.kingkiba.com

Ana vipaji vilivyo tofauti na wasanii wenzake, hivyo amejikita sehemu nyingine kwa kusajiliwa na Coastal Union kucheza mpira wa miguu kwa msimu wa 2018/2019 wa Vodacom Premier League.

Maisha yake


Ni mtoto wa kwanza kuzaliwa katika familia ya watoto wanne, ambaye mdogo wake pia ni mwanamuziki wa Kitanzania.

Mafanikio


Mwaka 2011, Ali Kiba alichaguliwa kama "msanii wa kwanza wa Afrika Mashariki" - Tanzania, Kenya na Uganda.

Kwa mwaka 2015 ameshinda tuzo tano za Kili awards.

Tarehe 20 Mei 2016, kampuni ya kimataifa inayojishughulisha na muziki "Sony Music Entertainment" ilitangaza kumsainisha mkataba wa kufanya kazi na Ali Kiba.

Mwaka 2017 alitajwa kuwa na utajiri wa kiasi cha dola milioni 5 za kimarekani, huku hasimu wake mkubwa katika anga hiyo ya muziki akitajwa kuwa na utajiri wa dola milioni 4 za kimarekani

Hivi karibu alitoa kibao kilichotikisa Africa na duniani kote kikijulikana kama KADOGO kibao kinachoelezwa kimemwingizia pesa nyingi mno kutokana na namna kilivyotengenezwa kwa umahiri mkubwa.
 
Picha mkuu
Tim kiba hata kama atakunya barabarani kwangu Mimi ni bora kiliko huyu takataka tupe nakapicha
 
Ali Kiba

Ali Saleh Gentamilan (anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Ali Kiba; pia: King Kiba; alizaliwa 1986) ni mwanamuziki wa Tanzania, mwimbaji na mtunzi wa nyimbo chini ya lebo ya Rockstar4000.

Ali Kiba

Jina la kuzaliwa
Ali Saleh Gentamilan
Amezaliwa
Novemba 29 1986 (umri 32)

Asili yake

Tanzania

Aina ya muziki

Mwanamuziki

Kazi yake

Mwimbaji Mwanasoka

Aina ya sauti

Sauti, Piano

Miaka ya kazi
2006 -
Studio
Rockstars4000
Kings Music

Ame/Wameshirikiana na
R. Kelly
Abdu Kiba
Christian Bella
Ommy Dimpoz
M.I
Patoranking
Abby Skills
Mr. Blue

Tovuti
www.kingkiba.com

Ana vipaji vilivyo tofauti na wasanii wenzake, hivyo amejikita sehemu nyingine kwa kusajiliwa na Coastal Union kucheza mpira wa miguu kwa msimu wa 2018/2019 wa Vodacom Premier League.

Maisha yake


Ni mtoto wa kwanza kuzaliwa katika familia ya watoto wanne, ambaye mdogo wake pia ni mwanamuziki wa Kitanzania.

Mafanikio


Mwaka 2011, Ali Kiba alichaguliwa kama "msanii wa kwanza wa Afrika Mashariki" - Tanzania, Kenya na Uganda.

Kwa mwaka 2015 ameshinda tuzo tano za Kili awards.

Tarehe 20 Mei 2016, kampuni ya kimataifa inayojishughulisha na muziki "Sony Music Entertainment" ilitangaza kumsainisha mkataba wa kufanya kazi na Ali Kiba.

Mwaka 2017 alitajwa kuwa na utajiri wa kiasi cha dola milioni 5 za kimarekani, huku hasimu wake mkubwa katika anga hiyo ya muziki akitajwa kuwa na utajiri wa dola milioni 4 za kimarekani

Hivi karibu alitoa kibao kilichotikisa Africa na duniani kote kikijulikana kama KADOGO kibao kinachoelezwa kimemwingizia pesa nyingi mno kutokana na namna kilivyotengenezwa kwa umahiri mkubwa.
Kadogooo!!!
 
Hujasikiliza interview yake ya juzi Times Fm ndo maana unaongea pumba...halafu nyie ndo mnaomtia umaskini bro wa watu kwa kumsingizia vitu ambavyo hajawahi kuwa navyo maishani
 
Awe MASIKINI MAISHA YAKE YOTE DUH?....analala kwenye nyumba yake,anakula anachotaka,anaenda analotaka in and out the continent,hukutani nae kwe ye mwendokasi wala uber..UMASKINI GANI UNAZUNGUMZIA WEWE TAJIRI WA CHUKI.
Nyie ndio mnamfanya ali kiba awe masikini maisha yake yote.mnamtia gundu kwa kumpakazia utajiri ambao hata hawezi kuuota
 
Hata GHOROFA YA TABATA mlisema siyo lake baadae mkakaa kimya so hatushangai tunaomshabikia tunajua life style yake na tunajua kwenu nyny kiba hana hela,hajui kuimba,anaringa,ana majivuno,kapanga,hana gari KWENU NYINYI LAKINI.
Hujasikiliza interview yake ya juzi Times Fm ndo maana unaongea pumba...halafu nyie ndo mnaomtia umaskini bro wa watu kwa kumsingizia vitu ambavyo hajawahi kuwa navyo maishani
 
Mm sio mtu wa kundi, wala mdau saana wa bongo flavor.
. Ila katika wasanii wa bongo, mwenye majivuno, ego n selfishness iliyo kubwa hivo. Ni huyu jamaaa....
Mtu hujawah hata KUONA NGUO YAKE ILIYOANIKWA LIVE NGUO TU SIYO YEYE MWENYEWE afu nawe unajifanya unamjuuuuuuuuuuu<a kwa kusikia kwa watu hahahahahaaaa afu mnajihamigi kwa kusema SINA TIMU,SINA UPANDE WOWOTE,SIFATILII BONGOFLEVA ila........pumbaaaaaavu kaakule wanaume tunapita..KIBA KIMBIZA KUNGUNI HAO HADI WAAMKIE
 
Back
Top Bottom