Ali Kiba na Jackline Mengi wateuliwa kuwa mabalozi wa tembo

Pongezi for what, ina maana gani ktk career yake. Em kuweni na akili..

King of the jungle na music wapi na wapi?

My lord. Amkeni watoto.

hahahaha kwahyo na hao akina beckham, chan nao vipi
 
Pongezi for what, ina maana gani ktk career yake. Em kuweni na akili..

King of the jungle na music wapi na wapi?

My lord. Amkeni watoto.

Hamkawii kusema Dai anashushwa.
 
Nashindwa kuelewa kiba balozi du hivi wametumia vigezo gani kuchagua hao mabalozi mshahara je

Wasanii wengi ni mabalozi katika miradi mbalimbali,diamond ni ambassador katika miradi mingi sana,sema tu sisi hatunaga matangazo

Kwa wenzetu hili ni jambo kubwa sana kwao team kiba kwa sababu walikuwa kwenye Comar ndio maana unaona wanashangilia sana.
Usitegemee mabadiliko yeyote ya kiuchumi kwa king(without palace,means nothing)
Kawaida sana.
 

Good move huo ni mwanzo mzuri kwake. All the best.
 
vitu vidogovidogo sana hivo, hasi msanii kama Mwasiti naye balozi
 
Hiz deal zingine ambazo hazina maslai ni ujinga ujinga mtupu
 
Ivi apa king alikuwa anaongea nini vilee
 

Attachments

  • 1434634943197.jpg
    28.6 KB · Views: 307
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…