Ali Kiba nae kaanza ku promote video zake kwa kulipia mtandaoni

Ali Kiba nae kaanza ku promote video zake kwa kulipia mtandaoni

Kazi kweli.. Kuna namna.. Mambo ya fake views...
Kweli binadamu tumeumbiwa kusahau, Washabiki wa Diamond hebu kuweni na msimamo basi, wakati Diamond anakuwa accused kuwa ananunua views aligoma na akatuaminisha kuwa mtu huwezi kununua views kamwe

Wasafi tv ikaenda mbali zaidi ikafanya mahojiano na branch manager wa YouTube East Africa Kenya na akatuambia maneno yaleyale kuwa huwezi kununua views YouTube, sasa tunashangaa Leo kuanzia Kwa diamond mwenyewe Hadi washabiki wake kumattack Kiba kuwa ananunua views

Sasa je ukweli ni upi? Imekuaje Leo diamond mwenyewe anasema Kiba ananunua views ikiwa yeye aliwahi kukataa haiwezekani je ni kweli views wananunulika na kama wananunulika diamond nayeye ni Mnunuaji?
 
Kweli binadamu tumeumbiwa kusahau, Washabiki wa Diamond hebu kuweni na msimamo basi, wakati Diamond anakuwa accused kuwa ananunua views aligoma na akatuaminisha kuwa mtu huwezi kununua views kamwe

Wasafi tv ikaenda mbali zaidi ikafanya mahojiano na branch manager wa YouTube East Africa Kenya na akatuambia maneno yaleyale kuwa huwezi kununua views YouTube, sasa tunashangaa Leo kuanzia Kwa diamond mwenyewe Hadi washabiki wake kumattack Kiba kuwa ananunua views

Sasa je ukweli ni upi? Imekuaje Leo diamond mwenyewe anasema Kiba ananunua views ikiwa yeye aliwahi kukataa haiwezekani je ni kweli views wananunulika na kama wananunulika diamond nayeye ni Mnunuaji?
Inaitwa usompenda kaja, wamepoteana.
 
Nilishangaa sana maana kundi la wasanii wengi walikuwa wanalalamika zamani ukifanya hivi ndio kununua views, ila leo wenyewe wameanza kufuata mkondo aliopitia Diamond, hakika Teknolojia huwezi kubishana nayo.[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Brother wasanii wengi pamoja na kumchukia Diamond, ila wanatamani kuwa kama Diamond na ndio maana wanafanya na kuiga kile kile anacho kifanya Diamond ,yaani machoni pa watu wanamkataa ila moyoni wana mkubali na ana wainspire.

Mziki ni biashara na biashara inaitaji promo, so lazima ujitangaze.
 
Alikiba hafanani na msanii wa mziki wa kizazi kipya. Me nahisi ni kizazi cha zamani
 
Back
Top Bottom