shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,329
alikiba wa kawsida sana... anatembelea nyota ya diamond tu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaboa bhana kila siku kiba mbona kuna wasanii wengine kibao tu hawa ndo vibaraka wa domoNdugu mtoa maada, mtu hakatazwi kuwaza ila anakatazwa kuongea coz si kila utakachoongea ni muhimu vingine ni pumba kama unazozitoa. Alikiba mwenyew kasema hashindani na mtu ( nyie ndio mnaochochea high zisizo na maana kwa wasanii) kila msanii anaplay part yake katika muziki, kwa wapenda maendelea tunachoka sasa always mond na kiba utafikiri wanabifu vile. Mda mwingine kama hamna vya kuongea muwe mnakaa kimya tu
tofauti ya kiba na diomond ni kuwa kila kukicha diomond anabuni kitu kipya lakini kiba anaonyesha amerithika na alipofikaKinachonisikitisha ni jinsi wanavyomjaza kichwa matokeo yake anabaki palepale, yanakuja madogo kama Harmonize yanampita huku fursa anaziona, so sad, tatizo wabongo hatupendi kuambizana ukweli
Mtani mwaka huu swaumu haikupanda? Naona vijana wanakuzingua umeamua kukomaa nao.Aiseee kuna mijitu sijui ikoje!
Unachotaka kusema wewe ni nini?
Ali Kiba kwa kipaji chake kile unaanzaje kusema 'anakuzwa'?
Mwenyewe alishasema hashindani na mtu maana muziki anaufanya kwa njia zake mwenyewe, muziki wake haufanani na wanaofanya wengine.
Hivi hilo nalo ni la kutia shaka?
Jinga sana.
Tunaomuelewa Kiba na aina yake ya muziki tupo, humuelewi shut up.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mtani mwaka huu swaumu haikupanda? Naona vijana wanakuzingua umeamua kukomaa nao.
Naamini ni utani tu hawapo serious. Karibu futari ndio muda huu.
PhD ya musicElimu yako kimziki ni level gani kwanza tuanzie hapo..