IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,023
Kuna time ilifika hakuna msanii anayeangaliwa zaidi ya diamond na alikiba...
Nakumbuka Barnaba aliwahi kusikika akisema imefikia wakati hawapewi nafasi ya kusikilizwa.
Pia nilimsikia nay wa mitego akimuliza mwandizi kwann nyie waandishi lazima muulize maswala ya alikiba na diamond?
Sasa kibao kimegeuka no diamond na alikiba ni wcb wasafi na clouds FM
Alikiba hakuna anayemfuatilia km zamani naamini ye mwenyewe anajua ili.,na linatokea wakati mbaya sana anaplan za kuisimamisha lebbel yake.
Clouds naamini walihusika kwa kiasi kikubwa kucreat rivals ya Ali na diamond at the end kiba kasanda ,wamebakia wao wanapambana na wcb
Tuone mwisho utakuwaje
Naamini mpambano huu lazima1 ashinde na Nina tabiri WCB watawin the game cz wana 1st class musician in Tanzania kwa sasa.,wanafuatiliwa mno.
Umewahi kujiuliza kama WCB wasingekuwa na diamond,hamo,ray wangeendesha VP tamasha cz wasanii cream wote ukitoa WCB wako fiesta.
Yote kwa yote Ali Kiba pole sana....
Nakumbuka Barnaba aliwahi kusikika akisema imefikia wakati hawapewi nafasi ya kusikilizwa.
Pia nilimsikia nay wa mitego akimuliza mwandizi kwann nyie waandishi lazima muulize maswala ya alikiba na diamond?
Sasa kibao kimegeuka no diamond na alikiba ni wcb wasafi na clouds FM
Alikiba hakuna anayemfuatilia km zamani naamini ye mwenyewe anajua ili.,na linatokea wakati mbaya sana anaplan za kuisimamisha lebbel yake.
Clouds naamini walihusika kwa kiasi kikubwa kucreat rivals ya Ali na diamond at the end kiba kasanda ,wamebakia wao wanapambana na wcb
Tuone mwisho utakuwaje
Naamini mpambano huu lazima1 ashinde na Nina tabiri WCB watawin the game cz wana 1st class musician in Tanzania kwa sasa.,wanafuatiliwa mno.
Umewahi kujiuliza kama WCB wasingekuwa na diamond,hamo,ray wangeendesha VP tamasha cz wasanii cream wote ukitoa WCB wako fiesta.
Yote kwa yote Ali Kiba pole sana....