Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
Alikiba hajui kuishi kistaa... star yoyote lazima ajionyeshe ye haoni hata wasanii wa nje wakina wizkid.. davido.. neyo.. wapo wengi tyu wanao jionyesha... hahah anataka ajenge ki gofu alafu atuambie anaishi nyumba ya kupanga... kwanza utaishije nyumba ya jupanga wakati pesa ya kujenga unayo....kuna kityu hapa hauwezi ukawa na pesa alafu unatembea na malapa barabarani... kibakuli jiongeze... hayo ndio mafanikio jioneshe tuone unafanikiwa nini msanii wetyu.... nyoooooMsanii Ali Kiba amekataa nyumba inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikuhusishwa na yeye na kusema bado anaishi kwenye nyumba ya kupanga na hata kama alikuwa amejenga nyumba hawezi kufanya show off
Team Kibakuli...Acha kumwita hivyo nawewe
Unaweza kukuta hii comment imetoka kwa mwanaume mwenzetu.Amemzimikia na kumfia Kiba.Teh teh teh...hapo tu ndo napokuzimikiaga na kukufifia kiba......huna makuu
Hana makuu wapi, wakati maiki ilivyozimwa alitokwa povu...hapo tu ndo napokuzimikiaga na kukufifia kiba......huna makuu