Ali Kiba vs Diamond Platnumz usiku wa leo Mombasa

Ali Kiba vs Diamond Platnumz usiku wa leo Mombasa

Leo hii chama cha CORD kinachoongozwa na kinara Raila Odinga kinaadhimisha miaka kumi tangu kuanzishwa.

Sherehe hii inayokwenda kwa jina la [HASHTAG]#ODM10at10Mombasa[/HASHTAG] inatazamiwa kuisha kwa mbembwe za wanamuziki kutoka Afrika Mashariki.

Diamond na Ali Kiba wanaiwakilisha Tanzania katika tamasha hili. Diamond amepatikana kwa Kshs.5Million ilhali Ali Kiba amepatikana kwa Kshs.3Million.

Leo hii umati wa Mombasa uliojazana huko Mama Ngina Drive utaamua nani ndio mkali wa Bongo Fleva. Niko maeneo nasubiri show.
Endelea kutupa update mkuu
 
Leo hii chama cha CORD kinachoongozwa na kinara Raila Odinga kinaadhimisha miaka kumi tangu kuanzishwa.

Sherehe hii inayokwenda kwa jina la [HASHTAG]#ODM10at10Mombasa[/HASHTAG] inatazamiwa kuisha kwa mbembwe za wanamuziki kutoka Afrika Mashariki.

Diamond na Ali Kiba wanaiwakilisha Tanzania katika tamasha hili. Diamond amepatikana kwa Kshs.5Million ilhali Ali Kiba amepatikana kwa Kshs.3Million.

Leo hii umati wa Mombasa uliojazana huko Mama Ngina Drive utaamua nani ndio mkali wa Bongo Fleva. Niko maeneo nasubiri show.
MMOJA HAPO NDO MSHINDI,HUYO MWINGINE ANATEMBELEA NYOTA YA MWENZAKE,HAKUSTAHILI HATA KULIPWA HIO PESA YOTE ALIYOLIPWA
 
Jaman mbona mwenzenu sipokei notification ya jamii forum na nina application kwny sim yangu,au kuna mahal nimebonyeza maana nikitaka kuangalia kma mtu ame reply comment yangu lazm niend kkwenye website y jamii forum kawaida kabis
Embu niambie wataalam wa jamii forum/wakongwe
Mimi pia iko hivo
Sijui tatizo ni nin!!?
 
Milioni 90+ Tsh unaita hela ya chai...mkuu kwemye akaunt yako kuna kias gan mkuu, hio "hela ya chai" labda ufanye kaz serikalin miaka kibao upate mafao yako ya uzeeni, lakin kuna mtu anapata ndan ya masaa tu hahahah
Haya basi ngoja nibadilishe kauli...
Afadhali Ali Kiba na yeye ajipatiage pesa ya KUJENGEA nyumba..!
 
OD2.jpg
 
The battle in mombasa.. Siku hiyo... [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hili beef Kuna mtu limamnufaisha kishenzi, kuanzia yy mpaka, management mpaka mashabiki wanajua bila hii beef msanii wao ana hali mbaya, huo ndio ukweli mwenzake anahangaika kujibrand, yy anakuwa kama parasite, ila kwa mashabiki wa diamond habari nyingine nzuri hiyo hapo
Screenshot_2016-09-11-08-14-43.png
Screenshot_2016-09-11-08-14-43.png
 
Wasanii wa TZ wakishakatazwa kuja kwenye sherehe za ki siasa kenya, wakenya mtasema 'wasanii wa Nairobi wasialikwe ku perform kwenye sherehe za kisiasa Mombasa', Nawashauri wa kenya waache mambo ya ubaguzi tatizo hapo ni malipo madogo, kwahiyo wanachotakiwa kupigania ni malipo, next time anaweza asialikwe Alikiba au Diamond lakini hao hao wakenya wakalipwa hizo Ksh 100k wataridhika?
 
Mliopo uko mtatumia mapicha na nani mshindi naimani kibaaa atashinda mapovu vepee
Vipi dada uko vizuri kuhusu bundle .......kama huko poa angalia hizi hapa tena ni za video sio za mnato. Za yule mwingine hazikupatikana kwasababu hana mpiga picha zaidi ya kutegemea simu za shabiki wake aliyejitolea kupiga picha ambazo hazina ubora.


 
Back
Top Bottom