Ali Mtoni Sonso hana uwezo wa kuchezea Yanga

Ali Mtoni Sonso hana uwezo wa kuchezea Yanga

Kiukweli jamani hata Tshishimbi kama mnamfwatilia vizuri mwangalieni tu anapopata mpira awezi kutoa pasi kwa usahihi yaani anapoteza mipira kizembe sana.
nlishalisema hili....shishimbi hana akili za kuwa midfielder.... anapoteza sana pass...sometimes simwelewi kama box to box au holding au register...anacheza ka chandim...hasimeki van[emoji23][emoji23]
 
Nimemuangalia katika mechi kadhaa toka asajiliwe Yanga, nimegundua Ali Sonso hatoshi kuwa katika jezi za Yanga.

Kwasasa anacheza beki namba 3, sio mzuri sana kwenye ukabaji, lakini hata anapopanda kupiga krosi wakati wa mashambulizi, krosi zake zinakosa accuracy. Huwa anajipigia tu bila ya kuwa na uhakika.

Yanga ni bora wangembakisha Mwinyi Ali, kuliko huyu Ali Sonso. Labda ni mzuri akicheza kati lakini kwasasa hawezi kuwatoa Lamine Moro au Kelvin Yondani.

Dirisha dogo Yanga watafute Beki 3 mzuri wa viwango vya kucheza Yanga. Hawa akina Sonso ni wachezaji wa kariba ya Lipuli, Mbao, Biashara Utd.
Hivi nyie wabongo mpoje? Yaani Molinga falcao anatosha kucheza yanga lakini sio Ally sonso?
 
nlishalisema hili....shishimbi hana akili za kuwa midfielder.... anapoteza sana pass...sometimes simwelewi kama box to box au holding au register...anacheza ka chandim...hasimeki van[emoji23][emoji23]
Jamaa hajui kabisa kutoa hata pass
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Sonso ndio alikuwa nahodha wa Lipuli.
Kwan nahodha akiwa out of form anapata namba? Beki ya lipuli kwa msimu wa mwaka jana ilikuwa inaundwa na Haruna shamte na novatus lufunga/job, pemben ni William Lucian na Paul Ngalema. Sonso kakaa bench mara kibao tu
 
Kwan nahodha akiwa out of form anapata namba? Beki ya lipuli kwa msimu wa mwaka jana ilikuwa inaundwa na Haruna shamte na novatus lufunga/job, pemben ni William Lucian na Paul Ngalema. Sonso kakaa bench mara kibao tu
Sawa sisi wana jangwani hatukatai kwamba ni garasa ila ndiyo hivyo huyo anacheza na Zesco huku Gadiel Michael anacheza na namungo huko
 
Yanga ya msimu huu imesajili wachezaji wengi tu wa viwango vya kawaida sana! Kuanzia huyo Sonso, Ali Ali, Jaffery Mohamed, Marcelo (kwa huyu bora tu angebaki Mwiny Hajji), Kaseke (naye hana jipya), Bigirimana, Kalengo, nk.

(Wakina Sadney, Molinga, Balinya, Mustafa Selemani, nk. Hawa bado naendelea kuwachunguza.) Ukija kwa upande wa mwalimu, nadhani naye hana jipya kwenye timu. Unaweza ukahisi uwezo wake umefikia kikomo. Ni mtazamo wangu tu lakini.
 
Back
Top Bottom