Aliacha shule haikupita muda tukasikia amerukia sumalia

Aliacha shule haikupita muda tukasikia amerukia sumalia

vibesen xxx

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2022
Posts
3,187
Reaction score
6,620
Huyu ndugu alikuwa mpole tu ila alipofika kidato cha tatu akawa haendi sana shule ikawa anashinda sana kwenye nyumba ya ibada

Baadae akaacha kabisa shule kwa kusema anaingia kujifunza mambo ya gereji

Kwenye gereji kweli ukiwa na kichwa chepesi pesa ipo

Alienda gereji moja inamilikiwa na mtu mwenye asili ya sumalia au yemen hivi

Ila hakukaa sana tukasikia yupo sumalia

Facebook akawa anarusha picha kwenye muonekano tofauti na ule wakwake ndefu zikawa zimeshuka sana ule utanashati haupo tena

Ila imepita miaka kadhaa hajapost tena

Huyu kijana ni alikuwa jirani km ndugu tu aliishi na bibi yake wazazi wake walishauvua mwili wa binadamu muda sana

Sasa kwa kufikiri tu sidhani km mtanzania anaweza kuzamia kutafuta maisha sumalia

Sumalia kuna fursa kuliko TZ?
 
Huyu ndugu alikuwa mpole tu ila alipofika kidato cha tatu akawa haendi sana shule ikawa anashinda sana kwenye nyumba ya ibada

Baadae akaacha kabisa shule kwa kusema anaingia kujifunza mambo ya gereji

Kwenye gereji kweli ukiwa na kichwa chepesi pesa ipo

Alienda gereji moja inamilikiwa na mtu mwenye asili ya sumalia au yemen hivi

Ila hakukaa sana tukasikia yupo sumalia

Facebook akawa anarusha picha kwenye muonekano tofauti na ule wakwake ndefu zikawa zimeshuka sana ule utanashati haupo tena

Ila imepita miaka kadhaa hajapost tena

Huyu kijana ni alikuwa jirani km ndugu tu aliishi na bibi yake wazazi wake walishauvua mwili wa binadamu muda sana

Sasa kwa kufikiri tu sidhani km mtanzania anaweza kuzamia kutafuta maisha sumalia

Sumalia kuna fursa kuliko TZ?
Kaingizwa kwenye ugaidi
 
1000010839.jpg
 
Huyu ndugu alikuwa mpole tu ila alipofika kidato cha tatu akawa haendi sana shule ikawa anashinda sana kwenye nyumba ya ibada

Baadae akaacha kabisa shule kwa kusema anaingia kujifunza mambo ya gereji

Kwenye gereji kweli ukiwa na kichwa chepesi pesa ipo

Alienda gereji moja inamilikiwa na mtu mwenye asili ya sumalia au yemen hivi

Ila hakukaa sana tukasikia yupo sumalia

Facebook akawa anarusha picha kwenye muonekano tofauti na ule wakwake ndefu zikawa zimeshuka sana ule utanashati haupo tena

Ila imepita miaka kadhaa hajapost tena

Huyu kijana ni alikuwa jirani km ndugu tu aliishi na bibi yake wazazi wake walishauvua mwili wa binadamu muda sana

Sasa kwa kufikiri tu sidhani km mtanzania anaweza kuzamia kutafuta maisha sumalia

Sumalia kuna fursa kuliko TZ?

Kwani wewe huna ndevu??
 
Pesa hizo njaa mbaya ngoja akamatwe ndio mtajua , ndugu wapo wapi kijana anaenda kujiunga na watu wa ovy.
 
Huyu ndugu alikuwa mpole tu ila alipofika kidato cha tatu akawa haendi sana shule ikawa anashinda sana kwenye nyumba ya ibada

Baadae akaacha kabisa shule kwa kusema anaingia kujifunza mambo ya gereji

Kwenye gereji kweli ukiwa na kichwa chepesi pesa ipo

Alienda gereji moja inamilikiwa na mtu mwenye asili ya sumalia au yemen hivi

Ila hakukaa sana tukasikia yupo sumalia

Facebook akawa anarusha picha kwenye muonekano tofauti na ule wakwake ndefu zikawa zimeshuka sana ule utanashati haupo tena

Ila imepita miaka kadhaa hajapost tena

Huyu kijana ni alikuwa jirani km ndugu tu aliishi na bibi yake wazazi wake walishauvua mwili wa binadamu muda sana

Sasa kwa kufikiri tu sidhani km mtanzania anaweza kuzamia kutafuta maisha sumalia

Sumalia kuna fursa kuliko TZ?
Huyo na yeye ameshauvua mwili uuu wa duniani.
 
Sumalia hata mi nataka nisafiri nikapaone pakoje ila mi sitaacha kupost wala sitaachia udevu
 
Back
Top Bottom