Alianza Heri James, sasa ni Gambo na Makonda atafuata

Ana akili sana huyo!

Unaona anavyoambana? Akija kupata ulaji huko mbele kutokana na juhudi zake hizo za kupata elimu mataahira yataanza kumtukana wakati mwenzenu anapambana kama hivyo huku nyie mnapiga porojo humu mitandaoni.
anapambana wapi ameenda kupunguza stress. Aliyekuwa mkuu wa mkoa anaenda kusoma masters aje kupata ajira?? Hii nchi imejaa matahira.

si ajiajiri??
 
Umewasahau Ndugai, DPP Mganga na Mwigulu
 
Ana akili sana huyo!

Unaona anavyoambana? Akija kupata ulaji huko mbele kutokana na juhudi zake hizo za kupata elimu mataahira yataanza kumtukana wakati mwenzenu anapambana kama hivyo huku nyie mnapiga porojo humu mitandaoni.
Kwamba Masters degree ndiyo itampa ulaji? Hakuna wengine wenye masters degree wako mtaani tu? Anasoma kwa kuboresha wasifu wake tu siyo kwaajili ya ulaji, kitu anbacho ni kizuri na mtu yeyote akiwa na uwezo na sifa ya kusoma afanye hivyo.
 
Bahati mbaya hakuna bunge ni genge la waharifu tupu
 
Kwamba Masters degree ndiyo itampa ulaji? Hakuna wengine wenye masters degree wako mtaani tu? Anasoma kwa kuboresha wasifu wake tu siyo kwaajili ya ulaji, kitu anbacho ni kizuri na mtu yeyote akiwa na uwezo na sifa ya kusoma afanye hivyo.
PhD zimejaa kitaa lakini nao wanalia ajira kama sisi vilaza
 
Ana akili sana huyo!

Unaona anavyoambana? Akija kupata ulaji huko mbele kutokana na juhudi zake hizo za kupata elimu mataahira yataanza kumtukana wakati mwenzenu anapambana kama hivyo huku nyie mnapiga porojo humu mitandaoni.
Anafaa kuwa baba yako huyo, wew na yeye mna akili sawa, bisha?
 
Kondakta alifikia hatua mpk kujiita Mungu[emoji851]...NI UZUNI KWAKWELI [emoji29]
 
Sina record na Mnyeti, hao wengine nawakumbuka walivyojikweza juu ya binadamu wenzao na kujiona ni miungu. Binadamu ni mnyama hatari sana.
 
System iliyowapa kiburi bado ipo na inawalinda. Hayo maneno ya kuomba radhi ni unafiki tu mbona wengine wanaadhibiwa halafu wengine wanabadilishiwa ulaji tu?

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Makonda kama kamwagiwa maji vile......ha haha Mzee wa IST kimyaa yaani kama hayupo town vile !! Dunia hii ndugu zangu acha kabisa!!
 
Kweni vile vyeti vyake feki alivyovinunua pale Chuo cha Samaki Nyegezi havitomsaidia tena?
Endelea kuwaza propaganda za vyeti feki huku mwenzio anapeta maisha safi huku ukoo wako ukiendelea kuliwa na umasikini
 
Kwamba Masters degree ndiyo itampa ulaji? Hakuna wengine wenye masters degree wako mtaani tu? Anasoma kwa kuboresha wasifu wake tu siyo kwaajili ya ulaji, kitu anbacho ni kizuri na mtu yeyote akiwa na uwezo na sifa ya kusoma afanye hivyo.
Makonda yupo kwenye mfereji tayari wa hela!

Hao wengine wapambane na hali zao
 
Endelea kuwaza propaganda za vyeti feki huku mwenzio anapeta maisha safi huku ukoo wako ukiendelea kuliwa na umasikini
Maisha safi gani wakati pesa yenyewe ya kuzulumu Tassaf na Wafanyabiashara
 
anapambana wapi ameenda kupunguza stress. Aliyekuwa mkuu wa mkoa anaenda kusoma masters aje kupata ajira?? Hii nchi imejaa matahira.

si ajiajiri??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio akili za nyie masikini zilivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…