Inategemea unapigaje!Kwahiyo unasapoti Upigaji siyo? ila wengine wakipiga mnasema eti kwa Sababu Shujaa wa Mazezeta hayupo.
Shujaa wa mazezeta ndio nani huyo?I don't care nani kapiga nini, ninachosema nisikuone unabwabwaja hapa ati kuna Mtu kapiga kwa sababu Shujaa wako wa Mazezet (sina maana kuwa wewe ni Zezeta) hayupo tuko sawia?
Kizembe my arse..nal wacha Wapige msijifanye kuja na Double standards za kinafiki.kizembe
kama uja jazba hivi.Ana akili sana huyo!
Unaona anavyoambana? Akija kupata ulaji huko mbele kutokana na juhudi zake hizo za kupata elimu mataahira yataanza kumtukana wakati mwenzenu anapambana kama hivyo huku nyie mnapiga porojo humu mitandaoni.
Nazungumzia akili yako na bashite ziko sawa, bisha?mimi ndio babaako
Au mamaako hajakwambiaga?
Hivi leo unajifanya kumsahau Shujaa wako ndugu zeze..Shujaa wa mazezeta ndio nani huyo?
Cha ajabu hakuna mp yeyote alieomba kumpa taarifa muongeaji.Wakati Gambo anaongea kuhusu uporaji wa fedha za kigeni Arusha ghafla nikajiskia kuomba kumpa taarifa muongeaji
Nilijiskia kutamka maneno haya:
"Muheshimiwa naibu Spika naomba kumpa taarifa mchangiaji kuwa wakati uporaji huo unafanyika yeye ndiye aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Zoezi lile alilisimamia yeye mwenyewe Kama mwenyekiti wa vyombo vya ulinzi na usalama wa mkoa
Mh. Spika, naomba kumpa taarifa mchangiaji kuwa viongozi wanaosimamia uvunjifu wa sheria za nchi ni wahaini na kwa kitendo kile alihujumu uchumi wa nchi yetu hivyo anastahili kuwa gerezani kwa sasa na sio kwenye Bunge lako tukufu"
Wakati nawaza hivyo ghafla usingizi ukaishi nikijikuta kumbe Mimi ni Uncle Jei Jei tu hata mtaa ambapo jengo la bunge lipo sijui unaitwaje. Nikajisonya tu Kama Makonda alivyowasonya Waziri Mkuu na wastaafu enzi zile akiwa Paul Makonda kweli kweli sio leo anavyotambulika kama Baba Keagan
Wew una ushahidi wa cheti chake kuwa OG?Wewe una ushahidi wa cheti chake kuwa fake?
Sasa unataka nianze kuamini kwamba cheti chake ni fake kwasababu wewe unasema?Wew una ushahidi wa cheti chake kuwa OG?
Wew ni chizi kama BashiteSasa unataka nianze kuamini kwamba cheti chake ni fake kwasababu wewe unasema?