Alibaba ni matapeli au? Msaada please

Alibaba ni matapeli au? Msaada please

Na kuhusu Bei nazo si kigezo sana kwa sababu China kwa sasa kuna competition yakufa mtu kiasi kwamba wapo wanao funga viwanda kwa sababu ya Kompetiotion na moja ya strategies zao za kupona ni kwenye Bei tu
 
Mkuu nazani Alipay wametoa condition zote na taratibu za Kufuata, Je Ulisha wahi kuzifuata na Ukaibiwa? Make kama Bidhaa haina Ubora unaweza kufungua madai na ukarudishiwa pesa yako,

Na makosa hufanyika kwa Mumunuzi kuwasilaina na supplier na kumlipa suplier pesa moja kwa moja kwenye personer acount yake, hapo ni lazima ile kwako,

INGAWA MKISHA KUWA NA MAHUSIANO MAZURI NA SUPLIER WAKO UNAWEZA MALIZANA NAE BILA HATA KUPITIA ESCROW kutokana na kwamba hata huko Escrow kuna process ndefu sana, na wako ambao huwasiliana na suplier na kumalizana nae bila tatizo, ila inatakiwa muwe mmesiha fanya biashara naye kwa muda mrefu
siwatumii Alibaba nina itumia kuelewa bei ya vitu,natumia sana TAOBAO,360BUY na amazon,naelewa kuhusu alibaba na nikitaka kufanya nao biashara huenda mwenyewe kiwandani,
 
siwatumii Alibaba nina itumia kuelewa bei ya vitu,natumia sana TAOBAO,360BUY na amazon,naelewa kuhusu alibaba na nikitaka kufanya nao biashara huenda mwenyewe kiwandani,

Kwa hiyo kama huwatumii unanata na wengine wasiwatumie? Kila mtu anachoise yake kulingana na mahitaji yake
 
Habari wakuu,Kuna mashine nataka kuagiza through alibaba lakini nashangaa bei zipo chini sanaaa kulinganisha na market price! Naogopa nisije tapeliwa wenye uzoefu na alibaba msaada please.
Tafuta homepage ya kampuni husika, angalia profile zake i.e ilianzishwa lini,mauzo, wafanyakazi nk; alafu angalia AliBaba anatoa remarks gani kuhusu kampuni hiyo, na kama kuna dispute utachukuwa hatua gani - lakini sitegemei kama hilo linaweza kutokea. Kama mwenzangu alivyo sema usitegemee vitu vinavyo hundwa Uchina viwe na bei kama vinavyo hundwa Ulaya na Merikani. Mimi ndio ushauri wangu.
 
Kwa hiyo kama huwatumii unanata na wengine wasiwatumie? Kila mtu anachoise yake kulingana na mahitaji yake
nimekueleza bayana,kuwa siwatumii kufanya biashara online,nawatumia kulinganisha bei na nikitaka vitu huwa nakwenda moja kwa moja viwandani maana nipo hapa.na niwe muwazi ktk hili,nimekutana na wezi wengi sana ktk site hii na waliowengi hawataki uende kuonana nao na kufanya biashara ya ana kwa ana.kila mtu na chaguo lake,anayekwenda huko aende maana utafutaji wa pesa tunatofautiana,wengine hatuna huo muda wa kuendesha kesi za kudaiana na mchina kwa pesa zetu za mawazo,ni bora nikafanya biashara na site yenye uhakika,ili kupunguza sintofahamu
 
nimekueleza bayana,kuwa siwatumii kufanya biashara online,nawatumia kulinganisha bei na nikitaka vitu huwa nakwenda moja kwa moja viwandani maana nipo hapa.na niwe muwazi ktk hili,nimekutana na wezi wengi sana ktk site hii na waliowengi hawataki uende kuonana nao na kufanya biashara ya ana kwa ana.kila mtu na chaguo lake,anayekwenda huko aende maana utafutaji wa pesa tunatofautiana,wengine hatuna huo muda wa kuendesha kesi za kudaiana na mchina kwa pesa zetu za mawazo,ni bora nikafanya biashara na site yenye uhakika,ili kupunguza sintofahamu

Wengine tunao huo Muda wa Kuendesha Kesi na wachina, Ila all in all Kila mahali kuna Risk na una[po sema kesi mbona kuna jamaa zangu tangu waanze kununua alibaba hawajawahi tapeliwa hata siku moja? au kuna Alibaba Mbili?

Ni kweli kuibiwa kupo tena sana na ni kwa mtu kuingia kichwa kichwa na hata mimi ilikaribia kidogo kutapeliwa, Ila ukiwa mjanja wale Matapeli ni Rahisi sana kuwagundua haitaji elimu kuwagundua kuwa hawa ni Matapeli na hawa si matapeli

Na mara Nyingi kwa Matapeli hakuna anaye kubali utumie Escrow na hapo ndo sehemu ya kuwakamatia, na hata kampuni zao unakuta ni hewa hazipo
 
Wengine tunao huo Muda wa Kuendesha Kesi na wachina, Ila all in all Kila mahali kuna Risk na una[po sema kesi mbona kuna jamaa zangu tangu waanze kununua alibaba hawajawahi tapeliwa hata siku moja? au kuna Alibaba Mbili?

Ni kweli kuibiwa kupo tena sana na ni kwa mtu kuingia kichwa kichwa na hata mimi ilikaribia kidogo kutapeliwa, Ila ukiwa mjanja wale Matapeli ni Rahisi sana kuwagundua haitaji elimu kuwagundua kuwa hawa ni Matapeli na hawa si matapeli

Na mara Nyingi kwa Matapeli hakuna anaye kubali utumie Escrow na hapo ndo sehemu ya kuwakamatia, na hata kampuni zao unakuta ni hewa hazipo

je umewahi kufanya biashara na kampuni mpya zaidi ya zile umazofanyanazo kazi kwa sasa?
kwa mfano ÌÔ±¦Íø - ÌÔ£¡ÎÒϲ»¶ naweza fanya biashara na mtu yeyote yule na tena sina hata haja ya kutaka kuona nae ana kwa ana,lakini kwa Alibaba ni lazima uwe na uhakika na mtu unayetaka kufanya nae kazi,ni lazima ujenge nae urafiki wa muda mrefu,ni lazima ujiuliza mala mbili mbili la sivyo ina kula kwako.na wafanyabiashara ndani ya alibaba wote wanaelewa kingereza kwa malengo maalumu.kwa sisi wenye account na chartdevice huwa hawataki hatakutona,maana wanaelewa tunawaelewa nini malengo yao
una bahati sana na uendelee kumwomba mungu,maana hawa jamaa hawatabiliki na wanapenda pesa haoooooooooooooooooooo
 
Na hata Wazungu kwa sasa wanakimbilia China kwa sababu ya Bei na si kitu kingine, Wewe unazani kwa nini Ulaya na Marekani wanali kuhusu Thamani ya Fedha ya China? China wanacho fanya ni Kucheza na Thamani ya Pesa yao Yuan,

Na hao wanao uza Bidhaa kwa bei ghali kwa sasa karibia waote wamapitwa na Mchina Isipo kuwa Marekani tu na ambaye naye hayuko Mbali sana, Si Uingereza wala Ujerumani anaye weza kufurukuta kwa Mchina, Uingereza ndo Kabisa hata BRAZILI imempita mbali.

Nchi nyingi kwa sasa zinaangali Cheap na si vinginevyo wewe fuatilia Hata Tenda za Fifaa vya Kijeshi uone Nchi zinakimbilia kwenye Bei na si vinginevyo na Mchina ndo anaongoza kwa hayo
yote


SO TUSIKALILI KWAMBA PRICE PEKEE NDO INADETERMIN UBORA, NO KUNA MAMBO MENGI SANA YANAYO WEZA FANYA PRICE IWE CHINI HATA KAMA KIFAA KINA UBORA,

- Kuna mbao ya Cost za Uzalishaji ambazo ndo kitu kikuu kabisa kinacho determine
- Kuna hayo mambo ya thamani ya pesa-
- Kuna sera ya Serikali katika Kupromote Export
- Kuna mambo ya Ushindani
- Na hilo la Ubora
 
je umewahi kufanya biashara na kampuni mpya zaidi ya zile umazofanyanazo kazi kwa sasa?
kwa mfano ÌÔ±¦Íø - ÌÔ£¡ÎÒϲ»¶ naweza fanya biashara na mtu yeyote yule na tena sina hata haja ya kutaka kuona nae ana kwa ana,lakini kwa Alibaba ni lazima uwe na uhakika na mtu unayetaka kufanya nae kazi,ni lazima ujenge nae urafiki wa muda mrefu,ni lazima ujiuliza mala mbili mbili la sivyo ina kula kwako.na wafanyabiashara ndani ya alibaba wote wanaelewa kingereza kwa malengo maalumu.kwa sisi wenye account na chartdevice huwa hawataki hatakutona,maana wanaelewa tunawaelewa nini malengo yao
una bahati sana na uendelee kumwomba mungu,maana hawa jamaa hawatabiliki na wanapenda pesa haoooooooooooooooooooo

Unacho sema ni kweli Ila ndo kama hivyo ni Lazima na mumuzi mwenyewe Uchukue Tahadhari zote, Ila kama Ni kampuni ya Ukweli haiwezi kukutapeli hata siku Moja make China Sheria za Utapeli ni Mbaya mno na wanaweza Ishia Kunyongwa, make wale jamaa hawacheki,
 
je umewahi kufanya biashara na kampuni mpya zaidi ya zile umazofanyanazo kazi kwa sasa?
kwa mfano ÌÔ±¦Íø - ÌÔ£¡ÎÒϲ»¶ naweza fanya biashara na mtu yeyote yule na tena sina hata haja ya kutaka kuona nae ana kwa ana,lakini kwa Alibaba ni lazima uwe na uhakika na mtu unayetaka kufanya nae kazi,ni lazima ujenge nae urafiki wa muda mrefu,ni lazima ujiuliza mala mbili mbili la sivyo ina kula kwako.na wafanyabiashara ndani ya alibaba wote wanaelewa kingereza kwa malengo maalumu.kwa sisi wenye account na chartdevice huwa hawataki hatakutona,maana wanaelewa tunawaelewa nini malengo yao
una bahati sana na uendelee kumwomba mungu,maana hawa jamaa hawatabiliki na wanapenda pesa haoooooooooooooooooooo

Unacho sema ni kweli Ila ndo kama hivyo ni Lazima na mumuzi mwenyewe Uchukue Tahadhari zote, Ila kama Ni kampuni ya Ukweli haiwezi kukutapeli hata siku Moja make China Sheria za Utapeli ni Mbaya mno na wanaweza Ishia Kunyongwa, make wale jamaa hawacheki,
 
Unacho sema ni kweli Ila ndo kama hivyo ni Lazima na mumuzi mwenyewe Uchukue Tahadhari zote, Ila kama Ni kampuni ya Ukweli haiwezi kukutapeli hata siku Moja make China Sheria za Utapeli ni Mbaya mno na wanaweza Ishia Kunyongwa, make wale jamaa hawacheki,

Mkuu
asikudanganye mtu,ktk nchi inayo ongoza kuwa na utapeli na bishara feki hii ni moja wapo na hata wenyewe kama una ukaribu nao watakueleza hilo,haipiti siku hapa ni lazima matapeli,wezi wakamatwe na hapo ni baada ya kuiba ama kutapeli mabilioni ya Yuan,angalia CCTV 13 online utayaona haya ninayokueleza.
sheria si tatizo,tatizo ni pale utakapopigwa pesa na kukosa mahala pa kukimbilia na ukizingatia pesa yenyewe umekopa NMB ili uanzishe biashara
 
Mb one, Alipay na aliexpress ni hao hao yaani hapo sielewi kwa nini yanatumika majina yote hayo mawili kwa kitu kile kile, mimi nilipokuwa nashughulikia mzigo wangu nimekutana na maneno hayo lakini isikuchemshe kichwa ni hao hao na sera ni ile ile, wewe weka order yako kupitia Escrow sasa katika form zao ndiyo utaona alipay au aliexpress inajitokeza. Muuzaji halipwi hadi wewe mnunuzi utoe idhini baada ya wewe kupokea nyaraka zinazoonyesha kuwa kweli mzigo wako unakuja.
Naomba unifafanulie.
Hivi iyo escrow unajisajili upya na unakua na account yake au? Na utatakiwa kui-click ili washungulike na order yako?
 
Hao unaotaka kufanya nao biashara waulize kama wana mtu ambae amekuwa ana clear mizigo yao hapa Tanzania.
 
Habari wakuu,Kuna mashine nataka kuagiza through alibaba lakini nashangaa bei zipo chini sanaaa kulinganisha na market price! Naogopa nisije tapeliwa wenye uzoefu na alibaba msaada please.
Nina uzoefu na amazon ni waaminifu, alibaba cjajaribu
 
Back
Top Bottom