Alichoandika Amri Kiemba kwa Msemaji wa Simba Ahmed Ali juu ya Lameck Lawi

Nadhani hujaelewa.... kiemba anamsiliba msemaji wa coastal union waala sio ahmed ally. Fatilia Instagram yake vizuri utaona nani kamuweka ktk video aliyoitolea maoni
 
Hakuna mwenye tahaarifa kamili, kwani ni lazima sana kila mchezaji acheze bongo ?

Tuache lamli chonganishi.
 
Aliyehojiwa mwingine na anayesemwa mwingine hapa Watanzania tuache uchonganishi hata kama mtu humpendi lini Ahmed ameongelea swala la Lawi
 
Kwahyo semaji la caf linafurahia kufeli kwa lawi kisa2 aliwakataa ubaya ubwela? Duuu!! Kweli ngozi nyeusi Bado hatujitambui
Uyo alieleta andiko anataka kutudanganya amri kiemba kamsema msemaji wa cost wala sio ahmed kwenye ilo andiko aliambatanusha na video
 
Nadhani hujaelewa.... kiemba anamsiliba msemaji wa coastal union waala sio ahmed ally. Fatilia Instagram yake vizuri utaona nani kamuweka ktk video aliyoitolea maoni
Kwaiyi msemaji wa Coastal ndio kafurahia Lawi kushindwa Ulaya,,Hujaelewa wewe mzee
 
Uyo alieleta andiko anataka kutudanganya amri kiemba kamsema msemaji wa cost wala sio ahmed kwenye ilo andiko aliambatanusha na video
Kwaiyo wewe ulichoelewa ni kuwa Msemaji wa Coastal ndio anafurahia kuhusu kushindwa kwa Lawi uko Ulaya ?
 
Sema msemaji uwa anatereza sana kwenye kauli zake na inabidi ajitahidi kujitafakari na kuchunga ulimi wake maana anabeba watu wengi nyuma yake asa mashabiki wa Simba na wanamichezo kwa ujumla
Jifunze kuandika.
Alitereza = Aliteleza
Asa = Hasa
Uwa = Huwa
 
Ni kweli ilikuwa asajiriwe baada ya majaribio lakini ameshindwa kufikia ayo kwaiyo saivi anafanya majaribio timu nyingine. Na pia iyo haihalalishi kwa msemaji kumuongelea kauli izo kwa mchezaji mdogo ambae ana ndoto kubwa kwenye michezo
Ayo = Hayo
Kwaiyo = Kwahiyo
Iyo = Hiyo
Kazi kushabikia ujinga tu ila kujifunza kuandika hutaki!
 
Hakuna mwenye tahaarifa kamili, kwani ni lazima sana kila mchezaji acheze bongo ?

Tuache lamli chonganishi.
Kwani wewe taarifa za Lawi kwenda Ulaya ulizipataje? Na kwamba kaenda kufanya Nini?... Au unajizima data mkurugenzi?
 
Ni kweli ilikuwa asajiriwe baada ya majaribio lakini ameshindwa kufikia ayo kwaiyo saivi anafanya majaribio timu nyingine. Na pia iyo haihalalishi kwa msemaji kumuongelea kauli izo kwa mchezaji mdogo ambae ana ndoto kubwa kwenye michezo
Sasa mkuu Coastal wanasemaje walimuuza na ilhali walijua kabisa anaenda kufanya testing????.... Nachojua timu haiwezi kununua mchezaji wa majaribio.....
Au wewe unasemaje mkuu?
 
Huyu Kiemba nae simuelewi, kwani Lawi wakati ana sign Simba alikuwa anafikiria kitu gani?

Kama alijua ana mpango wa kwenda Ulaya kwa majaribio kwanini hakuwaambia Simba mapema?

Kiemba hajui maana ya critical thinking, badala ya kulaumu chanzo cha tatizo, yeye analaumu matokeo ya tatizo, na wote mnaomuunga mkono kwa ujinga alioongea hamna akili pia.
 
Ungekua wewe ungeacha kwenda kufanya trial Europe ili ucheze Simba?
 
Yan kiemba anajikutaga yeye alikuwaga mchezaji mkubwa kumbe marasta yanamdanganya kila kitu much know
 
Sasa mkuu Coastal wanasemaje walimuuza na ilhali walijua kabisa anaenda kufanya testing????.... Nachojua timu haiwezi kununua mchezaji wa majaribio.....
Au wewe unasemaje mkuu?
Elewa ili kuwa Coastal walipata ofa nono ya moja kwa moja ulaya endapo atafuzu majaribio na iyo timu ikalipia gharama zote za usafiri Pamoja na maradhi kwaiyo kwa hali iyo walikuwa na matumaini ulaya kuliko kwenda Simba kwa dau dogo la unyonyaji,, Kwenye Football iyo ipo sana na ndio walivyotoa taarifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…