Elections 2015 Alichoandika Juma Mwapachu mara tu Sumaye alipotangaza kuhamia UKAWA

Elections 2015 Alichoandika Juma Mwapachu mara tu Sumaye alipotangaza kuhamia UKAWA

Kuzungumza lugha za wenzako siyo kwamba una maarifa zaidi au ndo kwamba una hoja zaidi kwenye masuala unayoyazungumza. Kiingereza ni LUGHA kama LUGHA yoyote ile.
Ongea kuhusu yaliyomo kwenye habari, kama hujui, kiingereza ni lugha ya kufundishia toka mtu anapojiunga na sekondari....kwa hiyo hamna kitu cha ajabu katika kutumia kiingereza...

Alipokuja Obama, Kikwete aliongea lugha gani kwenye mkutano na wake na Obama na waandishi wa habari? Obama akienda India, Germany, Brazil n.k marais wa nchi hizo huzungumza lugha gani?

Hoja hapa ni kwamba elimu yetu watanzania ni pamoja na kujua lugha moja ya kigeni hasahasa kiingereza....
 
Hawa UKAWA wamevurugwa. Utadhani wamechukuliwa Msukure. Manake hawajielewi wala hawafikiri..wao ni kufuata kila wanachoambiwa bila ya kutumia akili zao. Huu si ni sawa na Msukure tuu.
Msukure = Msukule

Kinachoonekana ni kuwa wewe hutaki mtu atofautiane na wewe hasa kwenye mtazamo wa aina ya mabadiliko wanayotaka watanzania...

Cha kufanya, washawishi kwa hoja, weka hoja zako watu wazijadili, kama unahisi kuna kipya ambacho CCM wanataka kufanya ambacho hawajaweza kufanya kwa miaka 50, tueleze, kama utanyofoa kwenye ilani ya CCM, tambua kuwa ilani hiyo haina jipya kwa mtu muelewa....

Unavyozungumza unadhihirisha umekosa uwezo wa kushawishi watu wengine wafuate mtazamo wako badala yake unatumia kauli za kejeli, matusi na dharau...
 
Agenda ya vijana ni ajira zenye staha..siyo Mabadiliko ya rangi za mavazi ya watawala.. Only Magufuli ndo ana mipango bora ya ajira kwa vijana.

seriously ivi unaamin JPM ana uwezo wa kutengeneza ajira mzee??? JK kaleta wahind wamekaba ajira zetu,kiwanda kina wahindi wengi kulko wazawa kwa sabb ya Jk,leo ananiletea JPM et nimchague??? over my dead body............JK aondoke na MAKUFULI YAKE
 
i really love the analysis of a Leader and Manager! Thank you Hon. Mwapachu. Mwenye masikio atasikia.
 
definitely, we need change and it is always possible. Lets join our hands towards pushing down this big tree (CCM) along the road so that we can expand it, hence to escape unnecessary accident
 
Huyu Mwapachu ambaye aliiba shirika la ndege na kuliua ndio mnaona naye ni kiongozi. Watanzania tuna kazi kubwa kama mawazo yetu yanaishia kwa hawa muflisi ambao wanatafuta ulaji kwa kila njia. Phew!
 
The Best leader to resigned for any scandal it will be came from him or his constituated. and the woes leader his do not admit to resign the post or lead peoples for his benefis
resign is not a shame if reality peoples like you they will let you lead them again
 
Huyu Mwapachu ambaye aliiba shirika la ndege na kuliua ndio mnaona naye ni kiongozi. Watanzania tuna kazi kubwa kama mawazo yetu yanaishia kwa hawa muflisi ambao wanatafuta ulaji kwa kila njia. Phew!

Mkuu lakini kumbuka hapa hatuongelei wizi wake kwenye shirika la ndege.. Ni Lowassa na Magufuli.. Toa hoja hapo. Hayo mengine kaanzishe post yako uyaweke huko tuje kuchangia.
 
  • Thanks
Reactions: bht
Mi siongei chochote as long as kile kikadi cha kupigia kura ninacho, naamini 25/10 itanikuta nikiwa hai. Siku hiyo lazima nijitendee haki.

Kinaitwa kichinjio cha wanaotuita wanywa viroba
 
Mbona hakuyasema haya siku zote kama kweli yeye anaguswa na maisha ya watanzania?
ameishiwa kabisa. Leo anakosoa wenzake hali ya kuwa yeye hana historia yoyote kwenye maisha ya watanzania toka ujana wake mpaka leo amekuwa mzee amekuwa ni mtumishi wa serikali kwa vyeo mbalimbali.
Anataka tu kujitafutia ulaji kwa fikra zake kama ikitokea UKAWA wameshinda. Hana lolote. Haya maoni yake mbona hakuyatoa kabla ya julai au mwaka jana.? TAFAKARI VEMA.
Mwaka jana wengi tusingemwelewa, ametoa maoni muda muafaka baada ya kuona uchaguzi ni kati ya leader na manager
 
respect to ambassador jm. people with open mind, intellect and real thoughts are highly appreciated and needed in the hard and strong fight for change.
Jpm can't beat the brain of Enl in leadership. He can better manage things and not lead. Think wisely, decide wisely choose a leader to lead our country. I stand for change, I stand for leadership. Mungu ibariki Tanzania.
 
Yes time is approaching for every hour to know what the Tanzanian citizen wont.
 
Kwa yeyote anaelalamika lugha, basi arahisishe Maisha kwa style hii, achukue maandiko ya kwenye "aya" ya Kwanza aunganishe na maandiko ya kwenye "aya" ya mwisho alafu aniambie nimdadavulie. Alichomaanisha.
 
Back
Top Bottom