Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh teh sasa kibendera mbona umekisahau bana....
Tuna Elimu na wachambuzi wazuri tu wa masuala.Pia ni tumezaliwa na kukulia katika nchi hii. Sidhani kama kuna cha kutufundisha.Taifa hili limekosa wasomi wenye akili yaku uliza why ths? Tunavijana na ma Prof wenye first clas but inapokuja hoja ya Lowasa wanakuwa mazezeta kiasi unajiuliza why mtu huyu alienda Shule, imefika mahal yatupasa kujiuliza tunampigia debe Lowasa kwa jambo gani. Mtu alie chafuka na dam ya wanawake walio poteza maisha kwakusa dawa just b'coz ya ulafi wake, mtu alie na roho ngumu alie shindwa mzika J. K Njerere akaja kuhan baada ya kifo chake. Huyu mtu hata Mungu sijuw kama atamkumbuka kwa matendo yake alienda kwa shida ya Urais akikosa atamuacha Mungu. Ewe mtanzania kuwa makini na makanjanja wa Elimu wasiokuwa na maono ya taifa hili ila kwao pesa kwanza mengine yatafuwata. Mungu awasamehe.
taifa hili limekosa wasomi wenye akili yaku uliza why ths? Tunavijana na ma prof wenye first clas but inapokuja hoja ya lowasa wanakuwa mazezeta kiasi unajiuliza why mtu huyu alienda shule, imefika mahal yatupasa kujiuliza tunampigia debe lowasa kwa jambo gani. Mtu alie chafuka na dam ya wanawake walio poteza maisha kwakusa dawa just b'coz ya ulafi wake, mtu alie na roho ngumu alie shindwa mzika j. K njerere akaja kuhan baada ya kifo chake. Huyu mtu hata mungu sijuw kama atamkumbuka kwa matendo yake alienda kwa shida ya urais akikosa atamuacha mungu. Ewe mtanzania kuwa makini na makanjanja wa elimu wasiokuwa na maono ya taifa hili ila kwao pesa kwanza mengine yatafuwata. Mungu awasamehe.
A leader who can not stand and speak for 10 minutes.