Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sumaye kajiunga saa ngapi na someni huo ujumbe ni wa saa ngapi..
Agenda ya vijana ni ajira zenye staha..siyo Mabadiliko ya rangi za mavazi ya watawala.. Only Magufuli ndo ana mipango bora ya ajira kwa vijana.
Mkuu kumkosoa mzee Mwapachu kwenye kiingereza inabidi ujipange. Walisoma wakati shule zilikuwa na viwango na walimu walielimika vilivyo na kuheshimika kwenye jamii.
Sasa utamwambiaje hana cha kusema wakati umejibu usemi wake??
Utasemaje yeye ndo kakufikisha hapo ulipo ilhali wewe ndio kuwadi mkuu wa kuandika mashudu ya kuipamba CCM??
kuna uliloelewa hapo kwenye andishi au umefwata mvumo tu??
Hizo akili zako ni za magazeti ya Uhuru na IJUMAA hapo kwa Mwapachu huwezi elewa kitu labda mwenyekiti wako JK asome kisha aje akufafanulie kama mlivyo msubiri awafafanulie kuwa picha za mafuriko ni za kutengeneza!!!
Ni aibu kwa karne hii kuishi mithili ya wafu!!!
Agenda ya vijana ni ajira zenye staha..siyo Mabadiliko ya rangi za mavazi ya watawala.. Only Magufuli ndo ana mipango bora ya ajira kwa vijana.
It's time for change
Hii sio kweli.. Mwapachu aliandika hii Jana.
Habari za Sumaye kuhama zimetolewa leo
Sasa unataka kuniambia aliandika post baada ya kusikia tetesi za kuhama kwa Sumaye.??
Mkuu....unasikia mtu kateuliwa muhusika sianakuwa ameshapewa taarifa? Kwanini usiamini JM alikuwa anajua kuwa SUMAYE atahama chama