chakufia nini
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 692
- 456
mzee mwapachu kaona mbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwema kabisa yakhe. Nimeamua kuyaweka kando maboksi kwa muda na nimekuja kuwapa nguvu UKAWA......
Sasa sijui kama tutaweza kukivuka kizingiti cha NEC
thank to mr juma mwapachu for his generous contribution to support tanzanian political transformation.
kumbe makufuli ni meneja alieteuliwa na kitengo afu mzee ngoyai ni kiongozi aliyechaguliwa na wananchi.
tarehe 25 october saa 4 asubuhi tuwaunge mkono wananchi kwa kumchaguwa mzee ngoyai.
What???This guy is very GENIUS...almost like me...!! Thanking you very much His Excellency Mapachu...really genius...!!
Anyway, anyhow, by any means
Lowassa kama Yesu...!!!
Well said, thanks elder Mwapachu.
Hii sio kweli.. Mwapachu aliandika hii Jana.
Habari za Sumaye kuhama zimetolewa leo
Dah....angekua mzalendo basi wengi tufaidi busara zake.
Hiyo english tena ya kiingereza kigumu...Dah, lakini nimeambulia point moja khs lida na meneja. Nimemuelewa na kanisaidia kufaham tofauti ya JPM na ENL.
Ndio maana mmoja alikumbushwa na hata raisi alisema wengine wanahitaji kukumbushwa, wamejizoesha kautaratibu kakuteliwa ndio maana "shukrani" ni nyingi kwy maneno yake kuliko ujasiri wa atafanya nini.
Wakati mwingine nashindwa kuelewa mgombea ni nani hasa upande ule kati ya anaeondoka na aliyechukua fomu.
Yuko huru kutoa mawazo yake na sie CCM hatuna tabia ya kutoa matusi kujibu hoja ..asuburi oktoba ifike!
What???
Kuandika hivo inavodaiwa kaandika
Ndo kunamfanya awe genius?
Mkuu kumkosoa mzee Mwapachu kwenye kiingereza inabidi ujipange. Walisoma wakati shule zilikuwa na viwango na walimu walielimika vilivyo na kuheshimika kwenye jamii.
This guy is very GENIUS...almost like me...!! Thanking you very much His Excellency Mapachu...really genius...!!
Anyway, anyhow, by any means
It is TIME for CHANGE...
Lowassa is the GREATEST LEADER...!!!
Lowassa kama Yesu...!!!