Elections 2015 Alichoandika Juma Mwapachu mara tu Sumaye alipotangaza kuhamia UKAWA

Elections 2015 Alichoandika Juma Mwapachu mara tu Sumaye alipotangaza kuhamia UKAWA

The upcoming general elections are more than choosing between a LEADER (ENL) and a MANAGER (JPM)-It is about choosing between GOOD and EVIL, LIGHT and DARKNESS.
 
Hakuna chochote,kelele za chura hazimuogopesh tembo kunywa maji
 
Thank you Mr JM ...its now time to handle some serious business
Lowasa ni mgonjwa we mdigo,hatuhitaji hiyo fikirika yako.kama umemaliza vizuri utumishi wako na fanya mambo mengine kwa jamii na utaheshimika kuliko kuwa mtumishi wa maswahiba zako.
 
These words are Meaningful n Powerful...I ll get amazed to see someone tries to disagree with Juma Mwapachu,who knows exactly what he z saying....INFACT AS TANZANIANS WE NEED CHANGES,WE ALL GOT TIED WITH CCM GENERATION, VIVA UKAWA...VOTE TO LOWASSA AND ALL UKAWA CANDIDATES.
 
U hv said it all,nice comment from a wise soul!Be blessed and we will take your advice
 
Hii sio kweli.. Mwapachu aliandika hii Jana.

Habari za Sumaye kuhama zimetolewa leo
 
I can ''manage'' myself properly,can you ''lead'' yourself?
Tunahitaji rais kiongozi na sio mtawala!
Kila la kheri UKAWA ,kila la kheri Lowassa.
 
Naunga mkono hoja...

Ipo tofauti kubwa sana kati leadership na management...
 
Surely Don't miss the point, Tanzania as of know need a leader to imprement the changes in our society!!
The Manager is good for using tools eg, machinely and labour for executing tasks or duties!!
But a leader is best on mobilising people in executing Missions, a good dependable leader is Edo N Lowasa!!
Dr Magufuri is a machinery type Manager at that, vision wise nill!!
 
kumbe makufuli ni meneja alieteuliwa na kitengo afu mzee ngoyai ni kiongozi aliyechaguliwa na wananchi.

tarehe 25 october saa 4 asubuhi tuwaunge mkono wananchi kwa kumchaguwa mzee ngoyai.
 
Ujumbe maridhawa....wataalamu wa lugha mnaweza uweka huo ujumbe ktk lugha yetu ya kiswahili ili watu wengi wapate kuelimishwa na kufanya maamuzi sahihi hapo october 25....
 
Dah....angekua mzalendo basi wengi tufaidi busara zake.

Hiyo english tena ya kiingereza kigumu...Dah, lakini nimeambulia point moja khs lida na meneja. Nimemuelewa na kanisaidia kufaham tofauti ya JPM na ENL.

Ndio maana mmoja alikumbushwa na hata raisi alisema wengine wanahitaji kukumbushwa, wamejizoesha kautaratibu kakuteliwa ndio maana "shukrani" ni nyingi kwy maneno yake kuliko ujasiri wa atafanya nini.

Wakati mwingine nashindwa kuelewa mgombea ni nani hasa upande ule kati ya anaeondoka na aliyechukua fomu.
 
Back
Top Bottom