Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Aiseeeeee Lowasa is a Leader and Magufuli is just a mere Manager. People want a Leader haahaahaaa kizungu shida sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes, one can earnestly believe.
Hii sio kweli.. Mwapachu aliandika hii Jana.
Habari za Sumaye kuhama zimetolewa leo
Haha braza hizo ni products za kata na embe ngwangwa!!!
Kwema lakini?
Dah....angekua mzalendo basi wengi tufaidi busara zake.
Hiyo english tena ya kiingereza kigumu...Dah, lakini nimeambulia point moja khs lida na meneja. Nimemuelewa na kanisaidia kufaham tofauti ya JPM na ENL.
Ndio maana mmoja alikumbushwa na hata raisi alisema wengine wanahitaji kukumbushwa, wamejizoesha kautaratibu kakuteliwa ndio maana "shukrani" ni nyingi kwy maneno yake kuliko ujasiri wa atafanya nini.
Wakati mwingine nashindwa kuelewa mgombea ni nani hasa upande ule kati ya anaeondoka na aliyechukua fomu.
Mkuu unaishi Dunia gani? Unafikiri ukisikia mtu ametangazwa kuteuliwa unadhani uteuzi ndo anausikia pale pale?
Surely Don't miss the point, Tanzania as of know need a leader to imprement the changes in our society!!
The Manager is good for using tools eg, machinely and labour for executing tasks or duties!!
But a leader is best on mobilising people in executing Missions, a good dependable leader is Edo N Lowasa!!
Dr Magufuri is a machinery type Manager at that, vision wise nill!!
Kukariri ktk utu uzima ni kitu hatari sana.Conclusion: Lowasa is a 'leader' and Magufuri is a 'mere manager'. We therefore need a leader who will appoint managers.