Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
U.S baby...
Nyani mzima... much respect kwanza...!!
Watu tuna mahaba na Lowassa haya ni zaidi ya mapenzi...!!!
Tukiona mtu anamsifia Rais wetu chaguo la Mungu, Mwana wa Mungu,
E. Lowassa...
Haya ni mahaba... bcoz we LOVE HIM...!!!
#Nyani ..vipi North Korea nasikia wanataka kutuletea ngumi za mtaani...
North Korea na yule obessed kijana mdogo wanaweza kumtishia MKUU WA DUNIA U.SA...!!!?? Yule Kim Obesity inamsumbua i think...!!!
Kwema kabisa yakhe. Nimeamua kuyaweka kando maboksi kwa muda na nimekuja kuwapa nguvu UKAWA......
Sasa sijui kama tutaweza kukivuka kizingiti cha NEC
Aiseeeeee Lowasa is a Leader and Magufuli is just a mere Manager. People want a Leader haahaahaaa kizungu shida sana
Mpwa mbona umeongea kwa sauti ya unyonge hivyo? Kuna tatizo au ndio ulivyo?umelifanyia nini taifa hili Mzee Mwapachu. Kaa kimya kaakimya nyie ndio mliotufikisha hapa ktk uongoz wa taifa hili kaa kimya huna chakusema.
hahaha kama alivyosema mkuu mmoja hapo, leader ambaye atachagua managers wa kumanage operations...sio manager wa kuongoza ma-leadres.
...kwa mbaaali kama yale mambo ya akili ndogo kuongoza akili kubwa
umelifanyia nini taifa hili Mzee Mwapachu. Kaa kimya kaakimya nyie ndio mliotufikisha hapa ktk uongoz wa taifa hili kaa kimya huna chakusema.
Wanasema eti Jamaa hafai kwenye huo umeneja labda ufoomeni
Wanasema eti Jamaa hafai kwenye huo umeneja labda ufoomeni