Alichoandika mkurugenzi wa Mawasiliano IKULU Gerson Msigwa kuhusu Afya ya Ruge Mutahaba

Alichoandika mkurugenzi wa Mawasiliano IKULU Gerson Msigwa kuhusu Afya ya Ruge Mutahaba

Mungu ni mwema atamponya...... kma alivyomfanyia kwa Tundu Lissu,Harison Mwakyembe Mungu wetu atafanya pia kwa Ruge... hivi Zamaradi ameshaweza kwenda kumwona......... nadhani ni baba watoto wake.
 
Our life is pre-determined from conception if not from spermatogenesis and oogenesis! Then a bishop like pengo tells you that let us pray so god can do that and that! Rubbish! Tunageuzwa as if we can not make sense out of these rubbish religious, lies teachings!


Mkuuu.......

Hahahahahahaa.....spare my ribs bana December inaanza nataka kwenda Moshi kula mbuzi!
 
Kwenye hiyo picha namwona bashite kwa nyuma ya jamaa apo,
 
Apone kwasabb sio car akiwa mgonjwa. Lkn hii iwe funzo kwake kwamba ipo nguvu zaidi ya nguvu zake za fedha ama watu. Hivyo aww mtu wa kutenda haki na sio kuonea wanyonge
Binadamu akiwa na chuki hata kwa mgonjwa anayepigania uhai wake huyu kanyimwa uchawi tu angemmaliza kabisa
 
Nchi ya wanyonge hasa masikini.

Kwa nini yeye?

Why the endless state house attention?

And $20,000 of state money? Hana bima? Hela zake za Clouds huwa zinaenda wapi, anagawa?

Kuna wagonjwa wangapi dakika hii wanakufa without a smidgeon of attention? Kwa kukosa milioni 5 za dawa za Chemo?
 
It is funny...how a human beings can force God to change his mind for some random human being who is sick!

Maajabu kweli!

Kusali/kuomba/maombi ni kupoteza muda....!

Wakristo are the most confused people to ever appear on earth!.....Anasema mungu keshapanga kila kitu tangu kuumbwa kwa dunia,then he turns around and beg him to change his mind on something for his own selfish reason!

Human beings are dangerous creatures me included!
Sawa.utavuna unachokipanda
 
It is funny...how a human beings can force God to change his mind for some random human being who is sick!

Maajabu kweli!

Kusali/kuomba/maombi ni kupoteza muda....!

Wakristo are the most confused people to ever appear on earth!.....Anasema mungu keshapanga kila kitu tangu kuumbwa kwa dunia,then he turns around and beg him to change his mind on something for his own selfish reason!

Human beings are dangerous creatures me included!
Kiranga anasemaje katika hili?
 
Back
Top Bottom