Pre GE2025 Alichobakiza Mbowe sasa hivi ni kupotosha na kugombanisha serikali na wananchi, hana lingine

Pre GE2025 Alichobakiza Mbowe sasa hivi ni kupotosha na kugombanisha serikali na wananchi, hana lingine

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwanza agenda ya Mbowe na Chama chake anachokimiliki ilikuwa ni Katiba Mpya, wamepambana weeeee hoja yao imekufa kifo cha mende baada ya miswada kupitishwa bungeni na kuwa sheria.

Akawapotezea muda wanachama wenzake kwa kuona njia pekee ni maandamano, ameandamana weeeee wananchi hawamwelewi.Huko kwenye maandamano ameongea hadi amekaribia kupata shinikizo la damu lakini wapi.

Akaona achezee hela za chama wakaitana tena pale Mtwara wakatoka na azimio la maandamano katika miji mikuu ya mikoa na wilaya.Yaani mnasafiri kwenda mtwara mnaazimia kuandamana!

Sasa ameona njia pekee iliyobakia ni uzushi tu, akipanda stejini kulalamikia hali ngumu ya maisha, wabunge wamejiongezea mishahara, cjui Rais Samia kafanya hivi, yaani hana tena hoja.

Naona kuna siku atajichanganya atavunja sheria za nchi atarudi Ukonga kuendelea na maisha yale yale ya wakati ule.

Maana utaendelea kutoa taarifa za uongo hadi lini? Serikali ipi itakuangalia weeee uwe unapotosha na kuleta uchonganishi, hakyamungu Mbowe utayatimba tu.

Kumbuka mahabusu kuna joto sana, hakulaliki huko.Shauri yako.
CCM mavi yangekuwa na thamani mngewanyonya watanzania mchana kweupe
 
Wewe tuambie Wabunge wanapokea kiasi gani na huo uzalendo wenu.
Kusema ukweli hakuna hasara kubwa anayopata mzazi, kama kushuhudia mtoto wake akifanywa msukule wa kutetea ujinga wa wanasiasa uchwara mitandao kwa faida ya wanasiasa hao, na watoto wao. Ni hasara kufanywa msukule iwe kwa kujua au kutojua. Fikiria badala ya kumuomba Mbowe athibishe kwa kutuonesha salary slip ya alielipwa M18 ili asije kutudanganya kama alivyofanya kwa Lowasa, wewe unakuja kuniambia mimi ndio nithibitishe ili kumkingia kifua yeye aendelee kukuweka katika kundi lake la misukule 🤣🤣🤣🤣
 
Msukule ni yule anayelipa wabunge Bilioni 84 kwa mwaka na kushindwa kuwahudumia watoto wenye utapiamlo mpaka kwenda kukinga bakuli la msaada marekani na kupewa Mchele wenye virutubisho?
Msukule mara nyingi hutumiwa tu bila kupewa chakula na mwenye misukule. Hivyo sishangai wewe kutumiwa tu bila kuambulia chochote kutoka kwa anaekutumia, huku yeye watoto wake wakiishi maisha ya anasa huko Marekani. Hawana hata muda wa kuingia humu kumtetea baba yao kwa sababu wanajua kuna misukule ambayo imeandaliwa kwa kazi hiyo.

Pole sana kijana.
 
Kwanza agenda ya Mbowe na Chama chake anachokimiliki ilikuwa ni Katiba Mpya, wamepambana weeeee hoja yao imekufa kifo cha mende baada ya miswada kupitishwa bungeni na kuwa sheria.

Akawapotezea muda wanachama wenzake kwa kuona njia pekee ni maandamano, ameandamana weeeee wananchi hawamwelewi.Huko kwenye maandamano ameongea hadi amekaribia kupata shinikizo la damu lakini wapi.

Akaona achezee hela za chama wakaitana tena pale Mtwara wakatoka na azimio la maandamano katika miji mikuu ya mikoa na wilaya.Yaani mnasafiri kwenda mtwara mnaazimia kuandamana!

Sasa ameona njia pekee iliyobakia ni uzushi tu, akipanda stejini kulalamikia hali ngumu ya maisha, wabunge wamejiongezea mishahara, cjui Rais Samia kafanya hivi, yaani hana tena hoja.

Naona kuna siku atajichanganya atavunja sheria za nchi atarudi Ukonga kuendelea na maisha yale yale ya wakati ule.

Maana utaendelea kutoa taarifa za uongo hadi lini? Serikali ipi itakuangalia weeee uwe unapotosha na kuleta uchonganishi, hakyamungu Mbowe utayatimba tu.

Kumbuka mahabusu kuna joto sana, hakulaliki huko.Shauri yako.
he is completely not a threat any where and any how,
na wala hana ubavu wala ushawishi wa kufanya hivyo humu nchini 🐒
 
Mbona mnalalama? Alichosema Mbowe kina ukweli. Mjomba wangu ni mbunge, mwezi uliopita amelipwa milioni 18. Kwani uwongo?
Yaani mjomba wako nae kilaza tu.
Inakuaje ujue hela zake?labda kama kakula mbususu.
 
Tatizo uvccm wengi mimba zimetoka kwenye mikesha ya mwenge Kwa ngono zembe
Unajionaje baada ya kudiscuss point za maana, unaishia kukejeli unajisikiaje? Huoni unamkosea mumeo. Anategemea unafanya vitu sahihi na simu kumbe ujinga tu
 
Una akili kidogo sana..

Si ajabu wewe ni mbunge au kada wa CCM tena eti ukiwa ni graduate wa degree ya kwanza in Political Science - UDOM.

Justification ya hili, ni uwezo wako wa kufikiri na ufahamu wako wa kupambanua mambo ni duni kama sio zero kabisa..

Kama hukuwa na la kuandika kumhusu Freeman Mbowe na CHADEMA, hukupaswa ku - expose ujinga wako kwa namna hii..!
Huwa napata shida sana.unajua unapoitwa mheshimiwa lazima UWE na sifa hizo.hii nchi kuna vitu huwa nafikiria kuhusu baadhi ya viongozi Nabaki kucheka tu.bad inafu kuna migraduate haina KAZI imekaa kwa wazazi wao wastaafu inawanyonya tu,inasifia ujinga Tu.
 
Kwanza agenda ya Mbowe na Chama chake anachokimiliki ilikuwa ni Katiba Mpya, wamepambana weeeee hoja yao imekufa kifo cha mende baada ya miswada kupitishwa bungeni na kuwa sheria.

Akawapotezea muda wanachama wenzake kwa kuona njia pekee ni maandamano, ameandamana weeeee wananchi hawamwelewi.Huko kwenye maandamano ameongea hadi amekaribia kupata shinikizo la damu lakini wapi.

Akaona achezee hela za chama wakaitana tena pale Mtwara wakatoka na azimio la maandamano katika miji mikuu ya mikoa na wilaya.Yaani mnasafiri kwenda mtwara mnaazimia kuandamana!

Sasa ameona njia pekee iliyobakia ni uzushi tu, akipanda stejini kulalamikia hali ngumu ya maisha, wabunge wamejiongezea mishahara, cjui Rais Samia kafanya hivi, yaani hana tena hoja.

Naona kuna siku atajichanganya atavunja sheria za nchi atarudi Ukonga kuendelea na maisha yale yale ya wakati ule.

Maana utaendelea kutoa taarifa za uongo hadi lini? Serikali ipi itakuangalia weeee uwe unapotosha na kuleta uchonganishi, hakyamungu Mbowe utayatimba tu.

Kumbuka mahabusu kuna joto sana, hakulaliki huko.Shauri yako.
ACHANA NA MBOWE KWANI WEWE UNAUJUA MSHAHARA WA MBUNGE?
MBOWE ANA MBUNGE WAKE BUNGENI KAMA KAMWAMBIA UMEONGEZWA NA AKAMWONYESHA SALARY SLIP YAKE INAYOSOMA MIL.18?
 
Mbowe anawafuasi wengi kuliko baba yako.
Sio wafuasi, ni misukule mingi ikiwemo wewe msukule wake anaekutumia kuja kumpigania hapa mitandaoni huku watoto wake wakiwa hawamjui wala kumpigania baba yako huko kwenu chambia wima.
 
Kwanza agenda ya Mbowe na Chama chake anachokimiliki ilikuwa ni Katiba Mpya, wamepambana weeeee hoja yao imekufa kifo cha mende baada ya miswada kupitishwa bungeni na kuwa sheria.

Akawapotezea muda wanachama wenzake kwa kuona njia pekee ni maandamano, ameandamana weeeee wananchi hawamwelewi.Huko kwenye maandamano ameongea hadi amekaribia kupata shinikizo la damu lakini wapi.

Akaona achezee hela za chama wakaitana tena pale Mtwara wakatoka na azimio la maandamano katika miji mikuu ya mikoa na wilaya.Yaani mnasafiri kwenda mtwara mnaazimia kuandamana!

Sasa ameona njia pekee iliyobakia ni uzushi tu, akipanda stejini kulalamikia hali ngumu ya maisha, wabunge wamejiongezea mishahara, cjui Rais Samia kafanya hivi, yaani hana tena hoja.

Naona kuna siku atajichanganya atavunja sheria za nchi atarudi Ukonga kuendelea na maisha yale yale ya wakati ule.

Maana utaendelea kutoa taarifa za uongo hadi lini? Serikali ipi itakuangalia weeee uwe unapotosha na kuleta uchonganishi, hakyamungu Mbowe utayatimba tu.

Kumbuka mahabusu kuna joto sana, hakulaliki huko.Shauri yako.
wewe ni mwendawazimu
 
Kwanza agenda ya Mbowe na Chama chake anachokimiliki ilikuwa ni Katiba Mpya, wamepambana weeeee hoja yao imekufa kifo cha mende baada ya miswada kupitishwa bungeni na kuwa sheria.

Akawapotezea muda wanachama wenzake kwa kuona njia pekee ni maandamano, ameandamana weeeee wananchi hawamwelewi.Huko kwenye maandamano ameongea hadi amekaribia kupata shinikizo la damu lakini wapi.

Akaona achezee hela za chama wakaitana tena pale Mtwara wakatoka na azimio la maandamano katika miji mikuu ya mikoa na wilaya.Yaani mnasafiri kwenda mtwara mnaazimia kuandamana!

Sasa ameona njia pekee iliyobakia ni uzushi tu, akipanda stejini kulalamikia hali ngumu ya maisha, wabunge wamejiongezea mishahara, cjui Rais Samia kafanya hivi, yaani hana tena hoja.

Naona kuna siku atajichanganya atavunja sheria za nchi atarudi Ukonga kuendelea na maisha yale yale ya wakati ule.

Maana utaendelea kutoa taarifa za uongo hadi lini? Serikali ipi itakuangalia weeee uwe unapotosha na kuleta uchonganishi, hakyamungu Mbowe utayatimba tu.

Kumbuka mahabusu kuna joto sana, hakulaliki huko.Shauri yako.
Kijana mwanaume mzima unajadili watu wanaokupambania uwe na kesho nzuri. Hizo 7k unazopewa wewe za uchawa kuna wenzako hawapati. Mbowe anawatetea muwe huru unaleta mambo ya kike. Hatari sana.
 
Kwanza agenda ya Mbowe na Chama chake anachokimiliki ilikuwa ni Katiba Mpya, wamepambana weeeee hoja yao imekufa kifo cha mende baada ya miswada kupitishwa bungeni na kuwa sheria.

Akawapotezea muda wanachama wenzake kwa kuona njia pekee ni maandamano, ameandamana weeeee wananchi hawamwelewi.Huko kwenye maandamano ameongea hadi amekaribia kupata shinikizo la damu lakini wapi.

Akaona achezee hela za chama wakaitana tena pale Mtwara wakatoka na azimio la maandamano katika miji mikuu ya mikoa na wilaya.Yaani mnasafiri kwenda mtwara mnaazimia kuandamana!

Sasa ameona njia pekee iliyobakia ni uzushi tu, akipanda stejini kulalamikia hali ngumu ya maisha, wabunge wamejiongezea mishahara, cjui Rais Samia kafanya hivi, yaani hana tena hoja.

Naona kuna siku atajichanganya atavunja sheria za nchi atarudi Ukonga kuendelea na maisha yale yale ya wakati ule.

Maana utaendelea kutoa taarifa za uongo hadi lini? Serikali ipi itakuangalia weeee uwe unapotosha na kuleta uchonganishi, hakyamungu Mbowe utayatimba tu.

Kumbuka mahabusu kuna joto sana, hakulaliki huko.Shauri yako.
Wewe kilichobaki ni kurudishwa kwenu ukafie huko
 
Sio wafuasi, ni misukule mingi ikiwemo wewe msukule wake anaekutumia kuja kumpigania hapa mitandaoni huku watoto wake wakiwa hawamjui wala kumpigania baba yako huko kwenu chambia wima.
Hata wewe ni msukule tu wa nunda wa CCM.
 
Back
Top Bottom