Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hapa ni sera ya chama tawala. Kwa Mwendazake ilipewa sana kipaumbele. Hapa kwetu huyo askari angezawadiwa, kwa wenzetu haki inatendeka...anakamatwa, anashtakiwa na anahukumiwa...
Sawa wakat mwingine uonevu ukizidi please jitetee tu hakuna namna haiwezekani kuna mazingira unaona kabisa hapa nakufa kifala why usifanye kitu cha kuepusha hicho kifo hata awe nani binafsi sitokubali kama nina silaha au kitu chochote kile nakutumbukiza nacho tu
Mjinga huyo blackHee!! Hii picha kiboko, mjinga Sana huyu askari, hata mtoto mdogo angejua kua akikaa zaidi ya dkka 1 anaua. Shenzi Sana huyu. Picha nilizozoea kuona ni zile zilizo fifia.
Angejitetea vipi wakati mikono tayari ishafungwa pingu?!Sawa wakat mwingine uonevu ukizidi please jitetee tu hakuna namna haiwezekani kuna mazingira unaona kabisa hapa nakufa kifala why usifanye kitu cha kuepusha hicho kifo hata awe nani binafsi sitokubali kama nina silaha au kitu chochote kile nakutumbukiza nacho tu
Bro kwenye mazingira kama hayo lazima uwe agressive sana la sivyo utakufa kwelAngejitetea vipi wakati mikono tayari ishafungwa pingu?!
Unakuwaje aggressive wakati mikono yote umefungwa?! Kumbuka pia huyo askari hakuwa peke yake.Bro kwenye mazingira kama hayo lazima uwe agressive sana la sivyo utakufa kwel
Alikuwa amefungwa mikono nyuma, miguu ipo uvunguni mwa gari, alafu amekewe goti kwa kugandamizwa shingoni! Nyie mashujaa wa keyboard kuna mawili, kama Askari wakipiga tu risasi hewani mtaani kwenu, kujiharishia au kukimbia mpaka ujikute Chalinze!Sawa wakat mwingine uonevu ukizidi please jitetee tu hakuna namna haiwezekani kuna mazingira unaona kabisa hapa nakufa kifala why usifanye kitu cha kuepusha hicho kifo hata awe nani binafsi sitokubali kama nina silaha au kitu chochote kile nakutumbukiza nacho tu
Hapana Mkuu ifike muda pigania uhai wako kwa njia yoyote ile sijui wewe binafsi ila mimi kama mimi natakiwa kujiokoa basi nitafanya kitu aidha nitapoteza au nitashinda ivo Mkuu wangu tufunge mjadalaAlikuwa amefungwa mikono nyuma, miguu ipo uvunguni mwa gari, alafu amekewe goti kwa kugandamizwa shingoni! Nyie mashujaa wa keyboard kuna mawili, kama Askari wakipiga tu risasi hewani mtaani kwenu, kujiharishia au kukimbia mpaka ujikute Chalinze!
Kama alivyokimbia Hamorapa siku ile issue ya Nape.Alikuwa amefungwa mikono nyuma, miguu ipo uvunguni mwa gari, alafu amekewe goti kwa kugandamizwa shingoni! Nyie mashujaa wa keyboard kuna mawili, kama Askari wakipiga tu risasi hewani mtaani kwenu, kujiharishia au kukimbia mpaka ujikute Chalinze!
mnafanua siasa za kixenge mpaka mnaboa.Kwa hapa ni sera ya chama tawala. Kwa Mwendazake ilipewa sana kipaumbele. Hapa kwetu huyo askari angezawadiwa, kwa wenzetu haki inatendeka...anakamatwa, anashtakiwa na anahukumiwa...
View attachment 1830928
Naomba ujiheshimu we pimbi.Hata wewe mataga unalalamika?!
Naomba ujiheshimu we pimbi.