Mkuu kuvunja mkataba wake labda ndo ishu,halafu ujue Singida na upande wa pili ni ndugu na ushauri wanapokea kutoka kule ,unadhani utampata kirahisi?We ni mdau wa Simba nakujua tuseme ukweli ivi viongoz wa Simba awamuon kijili kweli mbadala sahh kabisa wa kapombe msimu wa 2 huu namfatilia bonge la beki speed, tackling, control vyote ana shambulia Ivi duchu ana mzid nn yule tusem ukweli
Najiuliza zile cross za Kapombe zimebaki kama dk 10 jana ilikuwa ushauri wa kocha au alijiamulia, na ndo zilizoleta madhara, akawa hakimbilii mbele kila akipata mpira anaudondoshea pale pale kwenye 18 ugombaniweKapombe ni mtu mwingine linapokuja swala la right back
Na yule sio right back tu hata right wing anaimudu vyema.
Inawezekana kwenye tackling Kigili akawa zaidi ya Kapombe lakini akapwaya sehemu ya muhimu.
Kapombe ndio beki inayoongoza kwa kupiga cross zenye accuracy za juu. Kwa misimu miwili iliyopita huyu ndio alikuwa top defender mwenye assist.
Simba walikuwa na nafasi kabla ya kwenda singida Ila wanatuletea kina KapamaMkuu kuvunja mkataba wake labda ndo ishu,halafu ujue Singida na upande wa pili ni ndugu na ushauri wanapokea kutoka kule ,unadhani utampata kirahisi?
Sent using Jamii Forums mobile app