Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

By @professorjaytz | 👉Isoookey Isoookey @pierelikwidi, Hata Mbuyu ulianza kuota mdogo Mdogo Kama MCHICHA, Na ili Dhahabu iweze kung’aa ipasavyo ni lazima ipitie kwenye MOTO Mkali sana, Keep ya Head UP! Ni Marufuku kabisa kukata TAMAA na Mapambano lazima yaendelee, PIGA kazi Zaidi na Zaidi kwa kutumia hicho Kipaji chako na Neema ambayo Mungu ameiweka Ndani yako, kwani yeye ndiye anayejua Fungu la kila mmoja wetu na yeye ndiye anayejua kesho yetu, Endelea Kumtanguliza Mungu kwa kumuomba, Kumtukuza na kumshukuru kwa kila Jambo Utaendelea kuwa JUU, Utaendelea kuwa MAWINGUNI🔥🔥 CHIIIIIIIIII, Everybody SAY YEEEAH😂😂 Nawatakia wote JUMAPILI Njema🙏🏻🙏🏻
 
 
Natamani ningesikia mwanzo mpk mwisho kwann amemwita mwandishi hivyo...
 
Haya yatabaki kuwa maon yako lakin ukweli ni kwamba bia ni eneo linalochangia mapato ya nchi kwa kiwango kikubwa.Hata wew mwenye unaweza ukawa mlevi wa ngono ambao hauna faida yoyote kwa taifa.Ulevi wa pombe unafaida kwa taifa.
 
Ni upepo tu utapita. Heshima na adabu si kwa wadogo hata wakubwa zetu. Ingekuwa Nigeria huyu Pierre angepewa support ili awe mlipa Kodi mzuri kwenye kazi zake za marketing na advertising.

Hi ndio akili ya viongozi wetu tunahitaji hili heshima la wasiokuwa na ajira tuliexport nchi za watu lakini akili zao ni kuwaza kuongeza ugumu wa kuwapa passport vijana. Hatuwezi kuendelea kwa kukandamizana hivi.

Konki Ana trend Sana hi pengine inawaumiza wanaopenda sifa na umaarufu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angekuwa anatoka kanda pendwa angeheshimika. Kwakuwa anatoka kanda ambayo haipendwi ndio ivyoooooo
Tanzania ya viwanda
Maendeleo hayana chama

Sent using Jamii Forums mobile app
 

piere aliambiwa na yule mwandishi azingue tu.. tafuta full video.. aliambiwa aigize anamfukuza
 
Kwa kweli mkuu,sioni kwa nini huyu RC anaonekana kuchukizwa na umaarufu wa Pierre tena hadharani
 
mshamba tu huyo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah Ile kita itamshushia sana Piere kipato chake, kuvunjiwa mgataba ni ngumu labda wamlipe kama waliandikishiana, Ila oshu kubwa ni kwamba ni ngumu tena kupata dili zingine, hata kama kuna waliokua wanamfikiria kumpa dili wataahirisha, pia unaarufu wake utashuka kwa kasi.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…