Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

Swala la punguzo la bei lilikuwa na maana gani adi kumuattack ivi bwana liquidi
 
Wewe na bashite wako ni wapuuzi tena hamna exposure.sijajua bado kwanini mnafanya personal attack kwa piere. Fanya kama wewe ungekuwa pale ukumbini halafu anatokea mtu kiongoz na kuanza kukushambulia bila sababu ya msingi. Ungejisikiaje kama binadamu.Mnataka taifa lote tuwe walokole? Steve Nyerere ambaye muda wote yuko na bashite(zero) ni msanii wa nini?
 
Makonda kaona jamaa kazungumzwa sana hasa kwenye mechi ya timu ya taifa stars na uganda ,sasa makonda alitaka atajwe yeye aonekane yeye ndio shujaa ,sasa makamu wa rais ,kamtaja piere ndanani ya ikulu ,makonda hicho kimemuumiza ,sababu jitihada alizofanya makonda alafu anatajwa MTU mwingine kwa kusifiwa ,yeye ina muuma ,natabiri IPO siku atatamka jambo wala hamtaamini ,ndio mwisho wa kazi yake hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie ndo wachawi...kama hamtaki umaarufu wa walevi zuieni uuzwaji wa pombe alaf unaroho mbaya yani wewe umejiweka kundi zuri alaf piere umemuweka kundi baya ...unadhan taifa gani hapa duniani halina watu wa aina hiyo ..au unadhan mkizuia ndo mtaendelea??? Think twice badilisheni mifumo sio kusingizia walevi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na mpuuzi huyo na bashite/zero wake
 
Unategemea misaada.......


Dah
Na kushusha vinywaji nusu bei ni nini na kuhamasisha watu wajitokeze kwa wingi ni kujenga maadili? Acheni kuhukumu na muache unafiki Mungu ndio ajuae mwisho wa mtu msiingilie uhuru wake na ndo mana tunakosa misaada kwa uchoko kama huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
LEO NDIYO MHE RC.atajua kwa nini Mr.Liquid anapewa AIRTIME.....Maana isooooky kwake kila page ni Mr.Piere Liquid kubaki kileleni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu walikuwa hawamjui konk liquid ni nani? Ila baada ya kutajwa jana wameanza kumsearch huyu konk ni nani

Yaani unaweza ukaona unamshusha mtu kumbe nDio unazidi kumpa umaarufu.

Liquid kwa siku ya jana kaongeza folLowers.
Jina lake official insta ni nani na mm nikafollow
 
Huyu mtu anadharau sana. Hata kuna kikao kimoja katika ziara yake ya Dar aliwahi kumkashifu dada mmoja mtendaji wa manispaa kuwa ni kichaa. Ni kiongozi pekee anayeweza kufanya na kusema lolote baya lakini asiguswe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tusubiri kwa hili maana kwa kauri yake kapingana na makamo wa raisi aliye mpongeza huyo msanii Liquid

In God we trust
 
HUU NI UNYANYASAJI NA UDHALILISHAJI WA HALI YA JUU,sio vzr kumwita binadamu mwenzio mtu wa Hovyo hovyo,kila mtu ana thamani yake hapa Duniani yatupasa kuheshimu uumbaji wa Mwenyezi Mungu,hapa mie nilitegemea kusikia mikakati ya kutokomeza hizo Zero za Kisarawe ili zijadiliwe na kuleta muafaka wa nn kifanyike.

Sent from Nokia 7 Plus
 
Uzalendo wake umemtokea puani kwa mujibu wa mtaka sifa

In God we trust
No wonder wanasema nchi haina furaha,mtu anazalilishwa live na kuna watu walkuaa wanashangilia.
#So_SAD

Sent using Brain
 
Wewe na makonda akili zenu sawa

In God we trust
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…